• NOUS SUIVRE SUR

ARTICLE(S) RECHERCHE(S)

  • A propos de: "les noms arabes sont-ils authentiques"?
    Cher Jua, j'ai lu avec beaucoup d'intérêt l'article de votre lecteur sur les noms musulmans et la brève réponse que vous lui avez réservée.
    Boîte postale publié par kawaga sefu papa il y a 4 ans
  • Tuzungumze: Matunzo kwa dawa za asili bora?
    Mjini Bukavu kwa upekee na jimboni mwa Kivu ya kusini kwa jumla, vyumba vingi vya matibabu kawa dawa za asili zaote kama buyogaporini...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kwako bibi : "Kayabunde" ni rafiki baya
    Watu wanaosema luga ya kiswahili waweza kujiuliza neno "kayabunde" ama pia "shindikana" latokeya wapi na lina maana gani mjini Bukavu na jimboni mwa Kivu ya Kusini kwa jumla...
    Swahili publié par Imata Raphael Déwen il y a 2 ans
  • SOCOODEFI yapinga njaa mtaani Fizi
    Ikiwa kuna miradi ya maendeleo jimboni mwa Kivu ya Kusini iletayo mabadiliko vijijini, shirika la Socoodefi (Société coopérative pour le Développement de Fizi) ni moja wapo.
    Swahili publié par Mutungwa Abandelwa Phély il y a 2 ans
  • Vyama na demokrasia
    Iliruhusiwa kusimikwa nchini Zaïre siasa ya vyama vingi. Na kwa kweli kukaundwa vya kisiasa mamia na mamia. Kitendo hicho kikategemea zaidi ukabila...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Neno la wasomaji: Wachuuzi wa Salamabila watetemeshwa
    Jua mpenzi, ni mara ya kwanza nachukuwa kalamu yangu kwa kukuandikia kutokana na vitisho vyatushambulia toka na vyongozi ya hapa Salamabila. Na ninatumaini kama utaweza kunitolea mawazo kwa jambo hilo.
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Neno la wasomaji: Wembe warahisisha uwizi katika soko la Kadutu
    Ndungu mpenzi JUA, ninakujilisha kwamba mimi ni moja kati ya basomaji wako mashuhuri. Kupendelea kwangu kosoma GAzeti "JUA" kwatokana na vipindi vyaelekea akina mama (kwako bibi) na "Je, umesikia...?
    Swahili il y a 2 ans
  • Kwenyi meza ya duwara kisiasa mjini Kinshasa, Bwana Birindwa kateulirwa waziri mkuu mpya
    Kutokana na misukosuko ya kisiasa yaangamiza bado chi ya Zaïre tangu hapo Raïs Mobutu kumuachisha bwana Tshisekedi madaraka ya uwaziri mkuu mwezi ya Ogusti 1992 ingawa kavikwa madaraka...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Birindwa wa UDPS ni yuda?
    Kuhusu bwana Faustin Birindwa, gazeti JUA kapendelea kujulisha kwa wasomaji wake yale yasemwayo na vijana wa BBC/Carrefour, mitaani kadutu pa Bukavu. Ndugu P.M. ambaye ni prezidenti wa "Buholo Businessman, Carrefour" (BBC) aloa maoni yake.
    Swahili publié par Mutungwa Abandelwa Phély il y a 2 ans
  • Dolari kwenyi mlingoti
    Hali ya kiuchumi iliyoko nchini ya tia raïa katika uwasiwasi kwani hawajui nani wategemea ao nani atawaokowa na kuwa ondoa katika shimo la magumu wagandamizua.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Mnamo tarehe 8 marsi 1993, Wamama kasherehekea siku kuu yawo
    Kila mwaka wamama washerehekea siku kuu yao mnomo tarehe 8 marsi katika furaha kwa shangwe na vigelegele ulimwengunikote ingawa magumu yatezamiwa kuwaangamiza...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Tuzungumze: Udemokrasia upi katika makanisa za kikristu
    Siku izi nchini Zaïre watu wote wajuliza kama katika makanisa ya kikristu, hizo za kiprotestanti na lile la kimbangu, zinazo teteya na kutaja mara na mara jina la mwokonzi wetu Yesu Kristu, udemokrasia upi na utaingia siku gani?
    Swahili publié par Imata Raphael Déwen il y a 2 ans
  • Je, umesikia...?
    Kwamba: Shirika SNEL kapingwa bumbwazi mataani bagira ambako vijana kapinga shirika hilo kuchukua chombo moja cha kugawa moto wa stimu mutaani mwao na ambacho katezamiwa kupelekwa jimboni mwa Zaare ya juu?
    Swahili il y a 2 ans
  • Mzozo utaisha lini nchini Zaïre?
    Akitoa maoni yake kwa wapashahabari kuhusu hali ya Kisiasa yatezamiwa nchini kwa leo, askofu Laurenti Mosengwo Pasinya, prezidenti wa Baraza kuu la Washauri wa Jamhuri nchini Zaïre...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Udemokrasia, madaraka na mapaswa
    Mpango wa kufikilia siasa ya udemokrasia wa kweli ndiyo kusema mpango wa ushindi na wa raïa kuchukua madaraka mikononi mwao hauwezi kusimamisha kamwe na mtu yeyote.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Je, Umesikia...?
    Kuwa: Makamu wa zamani wa liwali wa jimbo la Kivu ya Kusini, bwana Ngoy Shambuyi, ambaye kaony wa kutumwa, kutumikia mahali mengine angali bado mjini Bukavu?
    Swahili publié par Imata Raphael Déwen il y a 2 ans
  • Wakaaji wapenzi wa zone ya Masisi, Walikale, Rutshuru, Nyiragongo na Goma
    Wakubwa wa jimbo la Kivu ya Kaskazini (Nord-Kivu) wakishirikiana na wale wa kabila zenyi kuishi katika jimboo hilo...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • UDSP/Sud-Kivu yaleta uwasiwasi
    Tangu upo bwana Faustin Birindwa ateuliwa kunako "conclave" ya Kishasa kuwa waziri mkuu, mambo ayaemdeki barabara kunako UDPS/Sud-Kivu. Wengi wahakikisha kuwa kuna mchafuko mkubwa kunako UDPS, baazi ya viongozi wake jimboni huwa na hali ya kibaridi na ya kimya.
    Swahili publié par Mutungwa Abandelwa Phély il y a 2 ans
  • Kwako bibi: Kugonda siyo kungonjwa ukimwi
    Wabinti kama vile wamama, twawaoomba mchagueni katikati ya kifo na mawazi kama vile Dubayi na Superwax! Sababu, siku izi watu wengi wafikiri pengine mtu yeyote anayegonda sherti atajike ugonjwa wa Ukimwi (kwa kifupi upungufu wa kingo mwilini) ama Sida.
    Swahili publié par Imata Raphael Déwen il y a 2 ans
  • Je, Umesikia...
    Kuwa: mchuuzi moja wa mafuta ya taa hapa mjini Bukavu haregei na kitembo chake chua kujenga bomba la kushota "Essence" kunako "place Mulamba"? Nia yake iliyopingwa marufuko mwaka jana na wanafunzi wa chuo cha Alfajiri na Cirezi hapo walipoandamana barabarani.
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Tuzungumze, Wachungaji na siasa katika makanisa
    Siasa na injili ni mambo mawili yaliyo tofauti katika matumikio yake. Ila tuseme ya kuwa siasa ya kweli yatoka kwa Mungu sababu hiyo ni njia moja wapo ya kuweza kuongoza watu katika taratibu na hekima ya Mungu.
    Swahili publié par Mutungwa Abendehwa Phély il y a 2 ans
  • Mkutano wa kwanza wa wanawake wafanyakazi umekoma
    Kulingana na aliko la chumba kihusikacho na mahusiano mema kati ya mashirika ya wafanyakazi katika bara la afrika na shirikisho la umoja wa Amerika.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 4 ans
  • Mapambano ya kombe la dunia
    Kutokana na habari za michezo ya mpira katika mapambano ya kugombea kombe la Dunia.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 4 ans
  • Kadutu: Uwanja wa mpira, "Mobutu" utajengwa
    Baada ya kutambua na kujionea binafsi jinsi ambayo uwanja wa mpira "Mobutu Sese seko"
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 4 ans
  • O.C. Muungano: Prezidenti Bongongo aendelea na kazi zake
    Siku ya Mungu tarehe 21 Decemba iliyopita, Jeshi La "Omnisport Muungano Club" Limeendesha mkutano wake mkuu wa mwisho wa mwaka kunako kilabo chake kipatikanacho katika mtaa wa kadutu.
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 4 ans
  • Moto umewaka mjini Kananga
    Mabadiliko ya peza yaliyojulishwa na kuendeshwa ata sasa nchini Zaïre yaleta matukio ambayo kila nkaaji na raia azungumuzia kila mara akikutano na mwezi.
    Swahili publié par Mutungwa Abendehwa Phély il y a 2 ans
  • Rubenga wa Idjwi amefariki, lakini!
    Kufuatana na kifo cha mwami Rubenga kilichotokea kisiwani Idjwi mnamo sku zilizopita, wasimamizi wa makundi Fulani Fulani; wakuu serkalini na wa asili na wakaaji wengi wa mtaa ule kaomboleza na kutoa maoni kazaa kuhusu ayati Rubenga
    Swahili publié par Mutungwa Abendehwa Phély il y a 2 ans
  • Ufalme wa Kristu ni ufalme wa haki na mapendo
    Nchini Zaïre kutokana na kuzorota kwa siasa ya uongozi, ya kiuchumi na ya kijamii, yatezamiwa mapambano makali yapo kati ya viongozi wa makanisa ya hao wa serkali…
    Swahili publié par Mzee Munzihirwa il y a 2 ans
  • Kazi za wakimbizi
    Tumesherehekea hapo majuzi kumbukumbu ya Wakimbizi Barani Afrika. Lakini tukichungua kwa kini hali kwa sasa ya Wakimbizi ulimwenguni kutokana na vita viendeshwavyo nchini nyingi toka chuki na waguzi wa kikabila kama vile na rangi na wa kidini...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Bukavu, Ni nani anayewasha moto kunako ISDR?
    Kiliweza kupita katika hali ya uwasiwasi na woga kufwatana na mzozo pia fujo kali ilyofanyika wa chuo, ndugu Lubilanji. Siku ile, mwalimu mkuu na kiongozi mkuu wa ISDR, ndungu Lubilanji Katekwa nyara na wanafunzi wake, kapingwa makonde na pia katembezwa kama mwizi na mjambazi wake...
    Swahili publié par Imata Raphael Déwen il y a 2 ans
  • Jawabu kwa mzozo wa kisiasa nchini Zaïre ni: Masikilizano na heshima ya mapatano kati ya wanasiasa
    Eti Raïs Mobutu akubali kukutana tena na wapinzani... Kwakweli tukichungua kwa karibu nguvu zaendeshwa kwa kuulaza mzozo wa kisiasa ulioko mchini Zaïre, zote zafikilia tu jawabu moja: masikilizano kati ya wanasiasa.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • CEPGL: Bonaventure Kidwingira akombolewa na david kusaba
    Kufuatana na habari kutoka Bujumbura ambazo zilitangazwa na Radio-Kigali zimesema kwamba ndugu Bonaventure kidwingira, katibu mtendaji wa "CEPGL"
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 4 ans
  • Leo na kesho: mayimoto na muungano yataendesha mikutano yao mikuu
    Kufuatana na kalendari iliyoundwa ba shirika lihusikalo na mwenendo bora wa mpira wa miguu mjini,
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 4 ans
  • Kombe la afrika: Bilima imeona nyota mbele ya canon: 3-0
    Kweli Canon Sportif ya Yaoundé ni jeshi bingwa wa michezo wa kandanda katika bara la Afrika.
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 4 ans
  • A.S. Ruzizi itaa mka mwaka kesho?
    Tangu siku ya posho, tarehe 29 Desemba iliyopita, Mashindano ya kugombea ubingwa wa michezo ya kabumbu ya miguu mjini bukavu yamekwisha.
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 4 ans
  • Mbio za miguu: Mchezaji Mulima anaalikwa Kigali
    Shirika lihusikalo na mchezo wa mbio kwa miguu mjini kigali, makao makuu ya Jamhuri
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 4 ans
  • Bukavu-Dawa yakaa Juu ya makaa ya moto?
    Kufuatana na matatizo yanayoangamiza siku hizi timu la Bukavu-Dawa, wapendelevu wa mchezo wa kandanda mjini Bukavu
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 4 ans
  • Mwananchi Djoho alisimamia sherehe ya miaka 47 ya Kituo cha "INERA-Mulungu"
    Siku ya kwanza tarehe 22 Desemba 1980, naibu wa liwali wa kivu ahusikae na mwenendo bora wa siasa jimboni mwananchi Djoho tayeta alisimamia sherehe ya kumbukumbu ya miaka 47.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Kinshasa: Hakuna ubaguzi kati ya wanafunzi wakimbizi na wananchi
    Siku hizi, waziri ahusikae na masomo ya msingi na sekondari, mwananchi Mvuendy Mabeki alipokea Chumbani mwake mwa kazi katika masimulizi ujumbe wa tawi la Umoja
    Swahili il y a 4 ans
  • Katibu mkuu wa chumba cha kuinua maisha ya wanawake nchini yupo Ulaya
    Tangu tarehe 21 Desemba, mama Nguz Nlandu Kavidi, katibu mkuu wa chumba kihusikacho na kazi za kuina maisha ya wanawake nchini.
    Swahili publié par Mutiri-wa-Bashara il y a 4 ans
  • Maelezo mapya juu ya matumizi ya feza za serikali
    Kama ilivyo desturi, kisha mkutano wao waliotanya juu ya kuchungua namna vile feza za serikali zatezamiwa kutumikishwa mnamo mwaka 1981.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 4 ans
  • Kinshasa: Liwali Mwando ahuzuria mkutano wa serikali
    Siku ya tatu tarehe kumi Desemba 1980, mwananchi na liwali wa kivu, mwananchi Mwando nsimba aliondoka mjini Bukavu na kujielekeza katika ziara
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Hali ya utumwa yaendelea nchini India
    Habari zilizotangazwa na shirika la upashaji habari popote ulimwenguni linalokuwa na makao yake mjini Ufaransa
    Swahili il y a 4 ans
  • Kadutu: Mwananchi Musole anakusudia kupunguza bei ya vyakula
    Siku hizi, naibu wa mwenye kiti wa mtaa wa kadutu, mwananchi Musole Maharaza Nyabangere ni mwenye kuendesha uchunguzi maalum kabisa
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Bukavu yawaka moto kabisa
    Katika siku zilizopita tuliweza kutoa nje hali ya kitisho iliyokuwa imekwisha anza kuonekana katika mji wetu wa Bukavu.
    Swahili il y a 4 ans
  • Wakaaji wamoja walibadilisha
    Tangu siku ya tatu tarehe kumi na saba mpaka siku ya tano tarehe kumi na tisa Desemba 1980, wakaaji, watumishi katika vyunga
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • senegal: Raïs Senghor atajiuzulu
    Habari zenye kuaminika toka Dakar, mji mkuu wa Jamhuri ya Senegal zahakikisha kuwa, Rais Léopol Sedar Senghor atajiuzulu kazini mwake.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Noel ni karibu
    Mungu Akasema: "haya, naona kwamba wakati umekwisha timu kwangu ili nipate kushuka duniani ambako mambo mengi ya ovyo
    Swahili il y a 4 ans
  • kalehe: Eti kiongozi wa bitale ni "mla pupa"
    Jua mpenzi Sisi wakaaji wa mkoa mdogo wa Bitale tunashangaa sana na matendo yasiyokuwa halali ambayo yatendwa kila mara na kiongozi wetu wa mkoa,
    Swahili publié par Zimkas oka's Mukokobi il y a 4 ans
  • kadutu: Mwananchi Musole anakusudia kupunguza bei ya vyakula? (suite)
    Tutaelewa hapa kuwa, katika ukomo huo bora wa kupunguza bei ya chakula katika mtaa wote wa kadutu
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Ujenzi wa kivu ni mapashwa ya kila mkaaji
    Siku ya kwanza tarehe moja desemba 1980 wakati wa jioninaibu wa liwali wa kivu ahusi.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Mobutu, Habyarimana na Bagaza watakutana Bujumbura
    Inaaminika sasa kuwa mkutano wa nne wa kilele wa Shirikisho la Kiuchumi ambalo lakusanya Zaïre, Burundi na Rwanda
    Swahili publié par Mutiri-wa-Bashara il y a 4 ans
  • MRND yaendesha mtaguso wake wa tatu
    Kufuatana na kanuni zake, MRND (Chama kinachohusika na kuimarisha mapinduzi nchini Rwanda kikiendesha kwa bibii ujenzi kisasa na vivi hivi)
    Swahili il y a 4 ans
  • Mwananchi Makolo amesema: "Bukavu haisonge mbele!"
    Gazeti letu "JUA" lilikwisha andika mengi na hata kuwatolea mashauri bora wenyeviti wa mitaa popote mjini Bukavu
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Bilima na Canon wameanguka mabwa: 2-2
    Bilima ya kinshasa na canon sportif ya yaoundé wameanguka mabwa kwa magoli mawili pande zote kisha mapambano yao ya kwanza ya mashindano
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 4 ans
  • T.P. Mazembe- Africa Sports: Moto utawaka?
    Siku ya mungu, tarehe 7 desemba ijao inaaminika kuwa moto utawaka kati ya Mazembe ya Lubumbashi na Africa sports ya Abidjan.
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 4 ans
  • Muungano, bingwa wa mabingwa jimboni
    Jeshi Muungano laonekana siku hizi kuwa bingwa wa mabingwa wa kivu.
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 4 ans
  • sokoto alimfeezesna kifunza
    Siku ya sita tarehe 29 novemba iliyopita, bralima na bukavu-dawa walikutana uwanjani ili kugombea nafasi ya tatu kwani Muungano na KFC wamekwisha jipatia nafasi mbili za kwanza mwaka huu.
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 4 ans
  • Raïs Mobutu yupo katika matembezi mjini Paris
    Baada ya kushiriki katika mkutano wa nne wa kilele wa marais wanamemba wa shirikisho la kiuchumi wa nchi zipatikanazo kando kando ya maziwa makuu
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • Mwananchi Djoho awahimiza wageni kutumika vizuri
    Akiendelea na mpango wake maalum wa kukutana na makundi mbali mbali ya wakaaji ili wapate kujenga moyo wa mapendo
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 4 ans
  • "OFIDA" yakusudia kukomesha wizi mipakani
    Siku ya pili tarehe sita Januari muaka huu, "OFIDA", chumba kihusikacho na kazi za uchunguzi, upekuzi na kulipisha kodi ya biashara na mizigo mipakani...
    Swahili publié par Mutiri-wa-Bashara il y a 2 ans
  • Wanachama wa Kivu wanapinga kabisa wa wale wabunge 13
    Siku ya nne tarehe 8 Decemba 1980, liwali wa Kivu, mwanasiasa Mwando Nsimba alisimamia mkutano moja maalum alimozungumza kimapinduzi kabisa na wanamemba wa kamati wa chama...
    Swahili publié par Mutiri-wa-Bashara il y a 2 ans
  • Waziri mkuu Nguz a karl I Bond alisema: "Kuna kitumaini kikubwa cha kuina uchumi wa taifa letu"
    Siku ya tano tarehe 26 Decemba 1980, mwanamemba wa chumba kikuu cha siasa na wakamati ya chama cha Mapinduzi nchini , waziri mkuu Nguz a Karl I Bond alisimamia mkutano wa kawaida ya mawaziri ambao ulikuwa wa mwisho katika mwaka 1980
    Swahili publié par Mutiri-wa-Bashara il y a 2 ans
  • Nigeria: Askari jeshi wamewaoka mateka 65_waliofungwa na waislam wa "Al Masifu"
    Habari zinazoaminika soka Lagos mjii mkuu wa Jamhuri ya Nigeria, zaeleza kuwa, mnamo tarehe 29 Decemba ilyopita, askari jeshi wamewaokoa watu 65 walioshikua mateka na waislam wa tawi la "Al Musifu" wakati wa fujo iliyoendeshwa na kundi hilo ...
    Swahili publié par Mutiri-wa-Bashara il y a 2 ans
  • Mwana siasa wa kwanza
    Muungano wa wapashaji habari nchini (UPAZA) ulimtaja Raïs Mobutu Sese Seko kua muanasiasa mkuu nchini mwetu kwa mwaka 1980 kufuatana na busara pia hekima yake kubwa katika kutuongoza.
    Swahili publié par Mutiri-wa-Bashara il y a 2 ans
  • Raïa wazulumiwa
    Tangu mizo ya kisiasa kuzuka nchii kati ya vikundi viwili: kundi lamuunga mkono ya Raïs wa jamhuri na lile lategemea upinzani na siasa kali tuseme kwa kifupi makundi ya mabwana...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Tuzungumze: Gani habari ya kweli ?
    Baada ya mamlaka tatu ya serkali: mamlaka ya kutenda (pouvoir exécutif), mamlaka ya sheria (pouvoir législatif) na mamlaka ya haki (pouvoir d'informer) iitwayo mamlaka ya ine. Makundi ya watu hayawezi kwishi bila kupasha...
    Swahili publié par Mutungwa Abandelwa Phély il y a 2 ans
  • Uhariri: Shangwe na Shukrani
    Kutokana na hali ya Kisiasa, ya kijamii na ya kiuchumi iliyo nchini, uwasiwasi wawashika raïa na maisha huwa ngumu siku kwa siku...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Neno la wasomaji: Viongozi wa chama cha MPR hawahelewi si asa ya nchi
    Tangu mageuzi ya siasa yakubaliwe rasmi nchini Zaïre, bada ya upinzani mkali wa wanainchi, mambo na kelele hayakomi kwa wanasiasa wa MPR...
    Swahili il y a 2 ans
  • Afya: Sherti wanaozalisha waelimishwe
    Wamama wanaozalisha kwa mjia kiasili wafanya kazi njema vijijini barani Afrika. Kitendo hicho chatokana na kitambo cha mahali wakaapo na hospitali, malipo ya matibabu na mara wamama wengi vijini hawajui...
    Swahili publié par Mutungwa Abandelwa Phély il y a 2 ans
  • Je, umesikia...?
    Kuwa: Wanafunzi wa chuo cha maelimisho ya utundi hapo majuzi kamuendea arkiaskofu wa dini la kikatoliki mjini Bukavu na kumuomba amuondoe madarakani padri kiongozi wa chuo hicho "ITFM" ?...
    Swahili il y a 2 ans
  • Mwenga: Viongozi wa masomo la kanisa "CELZA" waangamiza walimu wao
    Jua mpenzi, sisi walimu kunako masomo na kanisa la kiprotestanti, tawi la " CELZA", katika mtaa wa Mwenga, tunaangamizua sana na viongozi watatu wa masomo hayo...
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Kalima: Hakuna beyi nzuri katika soko
    Jua mpezi, mimi ni mmoja kati ya wasomaji wako wa dalma. Ukiwa msnauri wetu mkuu, nitakuomba ukubali kuwashauri wasimamizi wa solo la hapa Kalima...
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Uvira: Mwananchi Teganyi Musirwa anatumbeza na magoti
    Jua mpezi, upendezwe kupokea na kutangaza barua yangu hii kwani umetuomba kukuunga mkono katika kazi yako ngumu ya kutangaza habari na kuwaadibilisha wasomji wako...
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Bukavu: Shirika ya "S.N.C.Z ." laonya mfano bora !
    Tangu wakati ambao viongozi wa shirika la kiserikali lihusikalo na uchukuzi pia usafirishaji wa biashara, mizigo na binadamu mwa jia ya treni na meli, yaani "société nationale des chemins de fer du Zaïre" walitambwa kwamba maisha yana...
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE il y a 2 ans
  • Kamati ya vijana watumishi imesiimikwa katika shirika B. ISRAEL
    Siku ya sita tarehe 20 Decemba 1980, kamati ya vijana watumishi katika chama cha Mapinduzi katika shirika "B. Israël et Fils" imesimikwa na kuonywa kiserikali kunako hoteli Metropole mbele ya mwenyekiti wa mji ya Bukavu, muananchi Lokomba Kumuadeboni.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 2 ans
  • Kivu ya kushini: Waunguzi wa asili waendelea vema na kazi zao
    Mnamo siku zilizapita kiongozi kwa muda wa kamati ya waunguzi wa asili (wafumu) katika wilaya ya Kivu ya kusini, muananchi Kakozi Kithesi alisimamia mkutano moja maalum wa mwisho wa mwaka ambano alijifunza pamoja na mwezie...
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Kwako bibi: Wanyama wenye wazimu waambukiza wakaaji ugonjiwa huo?
    Ikiwa tunazungumza na wasomaji wetu juu ya ugonjwa wa mbwa, paka ao wanyama wanye wazimu (animaux enragés), ni hasa katika ukomo wa kuepuka ugonjwa huo unaweza kumuambukia binadamu wa kati unapoumwa na waniama wenye ugonjwa huo wa hatari.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 2 ans
  • Wakati gani kupewa posho?
    Ikiwa tunazungumza katika maandishi yetu na kujiuiza wakati gani ambao kina mama aweza kupewa kwa kulisha familia yake, ni sababu ya malambiko mengi ya nayotufikia toka pepo nne za jimbo letu kuhusu fujo inayotukia wakati mabwana mapokea mishahara yao.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 2 ans
  • Eti woga wawatetemesha viongozi nchini
    Nchini Zaïre woga watuma watu wengi kuota mabawa , tutwika miguu shingoni na kutyatuka kama ndege wasijue mahali wakwendako na mizigo wabeba. Jambo hilo laanekena na wana-Zaïre ambao yapitika nchini toka hali kisiasa yakumba nchi tangu miezi kazaa.
    Swahili il y a 2 ans
  • UHARIRI: uwe wa heri na fanaka
    ouf! Twafika mwaka mpya wa 1993, Mambo mengi yamepita na mwaka wa 1992 kwa namna wa mwendo wa kunguru.Tukitupa jicho nyuma tutajionea wenyewe namna gani mwaka 1992 wateremusha na usito wa magumu, raha, mipando na miporomoko ya maisha. sisi sote, hasa Wana-Zaïre, Kanshukuru Mungu Mweny'Ezikiwa shangwe na vigelegele kulotana na mambo kajionea.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kivu ya Kaskazini Mwanasiasa Nyemisi Kauwawa
    Bwana Henoki Nyamwisi Muvingi, waziri wa zamani wa michezo pla wa utamaduni nchini mwetu ameuwawa kwa risasi siku ya ijumaa nne terehe 5 januari 1993 pa Butembo katika mtaa wa Lubero.
    Swahili publié par Gabriel Lukeka Bin Miya il y a 2 ans
  • Kivu ya Kusini Sikash yaendelea kuhusika na afia ya wakaaji
    Kutokana na magumu mengi kapata wamama kwa kuzaa kama ifaavyo,,shirika Sikash ambalo lahusika na miradi mbalimbaki kwa maandeleo ya mkoa wa kasha itahidi kufungua kitua cha matibabu hapo Mushekere.
    Swahili il y a 2 ans
  • Bonane, mwaka mpya na mambo mpya
    Mwaka wapita bado umeme. Leo hii tunafurahia mwaka mpya 1986. Mambo yamefyatuka kwa mwendowa kurukaruka kama kunguru kwa ginsi ukitizama nyuma utajionea mwenywe namna gani mwaka 1985 wabeba mzigo wa magumu, raha, mipando na miporomoko ya maisha.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Ramazani Mufumu ailalamikia JUA sawa mbweha
    Kutokana na jibu la wananchi Ramazani Mufumu, Kiongozi wa mtaa wa Ibanda kwa maandishi ya mwandishi Eyenga Sana, tuliyochapa katika gazeti JUA, kulingana na pupa yake kali ya feza iliyomsukuma, ilionekana wazi kama jamaa huyo hana busara na akosewa na uaminifu wa kuendesha vema kazi za serikali.
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Michezo: FAR yaiangusha Bilima
    Ni mnamo tarehe 22 Decemba 1985 ndipo FAR, timu bingwa la Moroko, lilivikwa taji la ubingwa baada ya kutoka sare (1-1) na Bilima klabu bingwa la Zaïre katika pambano la marudilio, njini Lubumbashi katika nzunguko wa 21 wa kuigombea kombe Barani Afrika.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Tuzungumze: Tufanye je tunapaolikwa ?
    Sheria ya kwanza ya kufwata unapoalikwa nayo ni ya lazima sanani kuheshimia wakati. Fika kwa wakati usicheleweshe wala kungojelesha wenzako somo ao wale ambao waliokualika...
    Swahili publié par Kimengele Kimode il y a 2 ans
  • MIAKA 20 YA MAPINDUZI YA ZAIRE
    Ni mnamo tarehe 24 Novemba 1965 ndipo mareshali Mobutu akisharikiana na maofisa wakuu alichukua madaraka ya uraïs wa Jamhuri.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Je Umesikia ?
    KUWA feza zitafika kuwaunguza viongozi wa masomo? Kutokana na pupa yake kali ya pale Bagira (Institut de Bagira) alijiruhusu kuwashurtisha wanafunzi watoe nyongeza kwa feza za mchango wa wazazi ingawa liwali wa jimbo la Kivu amekwisha hesabu tuzofanya...
    Swahili il y a 2 ans
  • Raïs Mobutu allawaambia watangazaji wa habari
    Mnamo siku zilizopia mwanzilishi wa Chamacha Mapinduzi, Rais Mobutu Sese Seko aliwapokea kwake wtatngazaji wa habari Wabeleji kumi Alizungunza nao mengi kuhusu vile vitendo haramu vilivyotendwa na wate wabunge wa zamani kumi na watatu.
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Kwako bibi: Ewe bibi, kwa nini ongezi mchana kutwa ?
    Ingawa mbea (ongezi, commérage) kati ya wanawake laoneke njema ni kwa kuwa kwani ukipita mikoani utasubutisha kuwa wanawake...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Koperative ya akkiba na mkopo: Benki kuu ya Zaïere yatia usawa kati
    Tokea sasa kila koperative akiba na mkopo yapashwa kwanza kupata ruhusa ya Benki kuu ya Zaïre mbele ya kwanza akazi zake. Wakuu wanaohuika na kazi za feza wapo hivi na shuruli ya kutia usawa katika viungo...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Tarehe 17 novemba 1985: Majeshi ya askari yatimiza miaka 25
    Siku ya Mungu tarehe 17 novemba ndipo siku ya ukumbusho wa miaka 25 tangu hapo Jamhuri ya Zaïre kujipatia majeshi yake ya kiaskari...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Utangazaji wa enjili utafanyika Kinshasa
    Mwisho wa mwezi wa Desemba Kanisa la Kristo katika Zaïre kwa mjia ya Chuo cha Kristo ulimwenguni (Ministère du campus pour Christ International) litasimamia mjini Kinshasa mkutano maalum wa utangazaji wa Enjili (évangélisation).
    Swahili publié par KAJANGU MUSUSU il y a 2 ans
  • Rwindi: Ulalo mpya umejegua juu ya mto Kanyasembe
    Siku hizi, shirika la kiserekali lihusikalo na ujelalo, kwa kifupi "office des routes", limejenga ulalo mpya juu ya mto Kanyasembe ambao wapatikana katika shamba la wanyama la Rwindi, Rutshuru.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Bukavu: Wananchi Salumu na makolo washusika na mabodilishano ya biashara kati ya shaba na kivu
    Kisha kubaki muda wa siku nne kisangani, mji mkuu, jimbo ya Zaïre , ya juu, naibu wa liwali wa Kivu ahusikae na kazi za serikali, mwananchi Makolo Jibikilay, alimpokea mjini Bukavu mwenzie wa jimbo jirani la Shaba, mwanachi Salumu Amisi. Huyu alifika siku ya kwanza tarehe 21 januari 1981 akitokea Lubumbashi.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Butembo: Matayarisha ya ujenzi wa Kivu ya Kashaziki yamefanyila
    Kulingana na amri iliyotangazwa kiserikali na Liwali wa Kivu kuhusu mipango inapashwa kutayirishwa na wenyeviti wa mawilaya kwa ajili ya ujenzi na maendeleo ya jimbo la kivu.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Tutatoa mali ya kuoa mara ngapi?
    Jua mpenzi, Nikiwa nmoja kati ya wasomaji wako wa daimanakutakia mwaka mpya mwema. Ukombo Kamili wa barua hii ni kukwalika uwashauri wazee wetu wa naojirushusu kuvunji anyumba wa wabinti wao sababu ya pupa kali ya feza na ukosefu wa mafikiri
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Ihemba: Adui wa jirani yako ni wako pia!
    Jua mpanzi, Kila mara wakuu wa jimbo letu na nyinyi wakanganzaji wa habari huwa mnatuekeza kuwa : "Adui wa jirani yako ni wako pia na nji wa Bukavu peke yake si jimbo la Kivu". Kusema hivyo ni kutaka kutujenga moyo ili tuelewe kamba,, baoda ya adui kumshambulia jirani yako atakuingila pia nyumbani.
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Kabare: Uchimbaji wa zahabu kimagendo waleta njaa kali katika mkoa wa kalonge
    Jua mpanzi, Mimi ni nmoja kati ya wapendelevu wako. Ikiwa nmekuandikia barua nii kwa mara ya kwanza, ukomo wangu kamili ni kukuomba uhikishe malalamiko yetu kwa wakuu wa pate kukomesha hali ya njaa kali inayozidi kuwa nibaya na kuangamiza wa maaji kali inayozidi kuwa mbaya na kuangamiza wanaaji napa kalonge.
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Kadutu: Vyuma vilivyosimikwa katika mikoa ya Funu na Tshimpunda vina mafaa gani?
    JUA mpenzi, Nikiwa mmoja kati ya wasomaji wako, nitakuomba unipenami nafasi ndongo katika ukurasa wetu sisi wasomaji wako ili nipate kukutolea machache ninayo moyoni mwangu kwani nionavyo mimi ni jambo mmoja muhimu kabisa.
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Wa "pensionnés" wanasema: "Tunamsshukuru Liwali wa kivu kwa usikivu wake!"
    Jua mpenzi, Mbele ya vyote, uniruhusu minakushuru liwali wa kivu kwa usikivu wake bora! Shukurani zetu ziwafikie pia viongozi wa chumba cha serikali kihusikacho na maisha ya watumishi walikwisha achishwa kazi zao kufuatana na umri wao wa uzee.
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Kwako bibi: Vinyume vya biashara vya "domo"
    Siku hizi wakaaji wa miji mikuu kuvukwa na kazi ya kufanya bishera heta wakati hawana feza za kutisha kwa kuanza kazi hiyo. wengi wao wasukumwa kufanya hivyo wapate kutunza vema familia yao, kinua maisha yao banifsi na wengina kwa ou pe kali ya kuvimbisha mifuko yao.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 2 ans
  • Uvira: Mwananchi Kombozi aliapa kuwa atabaki mwaminifu kwa Raïs Mobutu
    Habari kamili toka mjini Uvira, makao makuu ya wilaya ya kivu ya Kusini zahakikisha kuwa naibu mpya wa mwenyekili wa mtaa wa Kalehe, mwananchi Kombozi Mashua Bonjoko, aliapa kuwa atabaki daima mwaminifu kwa Raïs Mobutu Sese Seko na nakutumika serikalimu she ria za Jamhuri ya Zaïre.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Kwako bibi : Mundere hayupo tena kiongozi tena kiongozi wa APHILMA/Bukavu Amekombolewa na Chibi Cha Bene
    Habari kamili kutoka Nyofu kunako makao ya Prezidenti wa Chama jimboni aliye pia Liwali wa jimbo la kivu zaeleza kuwa mke wake akina mama Mwando Museng Rov, kiongozi wa kamati ya wamama...
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 2 ans
  • Kivu ya Kusini : Burhinyi : Mwami Muganga ajiuzulu
    Habari zinazoaminika toka kivu ya Kusini na zilizotolewa na mwaandishi wetu Musemi Kilondo Nkula anyehusika na kituo chetu cha habari wilayani humo zahakikisha...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kivu: Vilalo vya Fizi vitatengenezwa
    Aliporejea Bukavu kiisha juma yapata tatu ya kazi pale Kinshasa, mjimkuu wa Taifa letu, liwali wa jimbo la Kivu, mwanachi Mwando Nsimba alitolea hapa majuzi wasaidizi wake ripoti kamil ya safari yake.
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Mwalimu Ali Mwinyi ndiye kiongozi mpya wa Tanzania
    Habari zinazoaminikwa kutoka Dar es-Salam zatupasha kwamba tangu tarehe 6 mwezi huu wa Novemba Tanzania ina kichwani mwake kiongozi mpya aitwaye Mwalimu Ali Mwinyi.
    Swahili publié par KAJANGU MUSUSU il y a 2 ans
  • Tuzungumze: Adabu wakati wa kula
    Kwa siku za kisasa watu wengi uzoea kula muzani pahali pa mkeka. Kwa kula mezani lakini na kwa kulapo na adabu kanuni zipo za kufata...
    Swahili publié par Kimengele Kimode il y a 2 ans
  • Amitabh Bachchan "Deewar" ageuka mwana-siasa
    Kufuatana na habari zilizotolewa na mwandishi wetu Lubunga Bya 'Ombe toka Kinshasa, yasemekana kuwa Amitabh Bachchan, bingwa katika michezo ya sinema ajulikananae kwa jina la "Deewar" alichaguliwa hapo majuzi kama mteule (député) wa jimbo la UTTAR-PRADESH nchini India baada...
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kamati kuu ya Chama : Kazi za mkusanyo wa kumi zimeanzishwa Weregemere na pepo ya mapinduzi
    Moja kwa moja kutoka Kinshasa, mji kuu wa Jamhuri ya Zaïre watupasha kuwa mnamo tarehe 30 septemba iliyopita, zimezanzishwa kazi za makutano wa 10 wa kamati kuu ya Chama...
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 2 ans
  • Butembo kwa zone ya Lubero
    Husema kama Butembo ni Posta ya Beni, lakini kwa kweli nilifika Butembo nikaona ni wilaya (sous-régions) kwa maendeleo yaliyo katika mji ule...
    Swahili publié par Tambi Eae Munaongo il y a 2 ans
  • Shabunda : Mkoa wa Bakisi katoka magumuni
    Baada ya masimulizi mihimu yaliyofanyike kati ya Mwami Mopipi Bitingo na wiiongozi wa shirika la utengenezaji wa mabarara "Office des routes", yajulisha kuwa ujumbe moja wa chumba kinachohusika na ustawi wa kazi za ujenzi wa mabarara za shirika hilo utajielekeza katika mkoa wa Bakisi mtaani Shabunda katika siku za usoni.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kwako bibi: Ni lazima tumpeleke bibi katika kilabu ?
    Mgini tunamoishi mwa tendeka mambo ya kila aina. Kuna wale jamaa ambao wana wazo la kuwa kumpeleka bibi wa nyumbani nafazi zote ndio alama kamili la kusilimuka.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Tuzungumze : Adabu katika msalani
    Katika migi na vijijini vyoo ni vya aina moja na katika migi mikubwa...
    Swahili publié par Kimengele Kimode il y a 2 ans
  • Kamati kuu ya itafungua mkutano wake wa 10 mnamo tarehe 30 Septemba 1985
    Kulingana na habari zlilizotolewa na katiba imara ya kamati kuu ya Chama, kamati hiyo itafungua mkuyano wake wa kumi wa kawaida mnamo siku ya kwanza tarejhe 30 septemba 1985.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Mashua Sendwe itakomboa Urundi
    Habari zilizoletwa kwetu na kiogozi wa gazeti JUA katika wilaya ya Kivu ya kusini, mwananchi Musemi Kilondo Nkula zaeleza kuwa jina la Sendwe ndiyo itakombowa "Urundi" iliyozama katika ziwa Tanganika mnoma siku zilizopita.
    Swahili publié par MUSEMI KILONDO NKULA il y a 2 ans
  • Ukimya na amasi vipo Fizi Baraka
    Siku Fizi, kundi moja maalum la watanganzaji habari toka miji ya "Bruxelles" nchini Ubelgiji na "Paris" Kafika Jamhuri ya Ufaransa. Limefanya ziara ya kiserikali katika jimbo la Kivu hasa katika ya mtaa wa fizi, moja kati ya mitaa ya wifaya ya kivu ya Kusini.
    NENO LA WASOMAJI publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Baraza la Serikali: Walimu waombwa kurudia masomoni siku ya kwanza
    Kiisha mkutano maalum wa mawaziri wa kawaida uliofanyika jana siku ya tano, terehe 30 januari 1981 chini ya uongozi wa mwananchi Nguz a Karl-I-Bond, waziri wa kwanza aliyerui Kinshasa siku ya pili kutoka Ulaya, hatua mabimbali zimechukuliwa kuhusu mambo ya masomo.
    NENO LA WASOMAJI publié par JUA il y a 2 ans
  • Mwananchi Djoho Teyeta yupo,katika uchunguzi wa kazi za Chama
    Siku hizi, naibu wa Liwali wa Kivu ashusikaye na mwenendo wa siasa mwananchi Djiho Teyeta, apatikana Katika wilaya ya kivu ya Kaskazini ambako ashurulika kwa mara ya kwanza na uchunguzi katika vyumba vihusikavyo na kazi za Chama.
    NENO LA WASOMAJI publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Baada ya Kubaki mateka muda wa siku 444 nchini Iran
    Walumishi 52 katika ubalozi wa Marekani mjini Théhéran wallachwa huru nakupokewa kwa shanwe kubwa na Raïs Ronald Reagan mjini Washington.
    NENO LA WASOMAJI publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Cyangugu-Rwanda: Bwana Majyambere amefungua kiwandacha uuzaji na utengenezaji wa magari ya aina ya "DATSUN" na "NISSAN"
    Siku ya sika (Jamamosi) tarehe 24 Januari 1981, wanachama cha Mapinduzi kihusikacho na maendeleo nchini Rwanda tako pepo nne za jimbo la Cyangungu, walikutana malfu katika mtaa wa Cymbogo ili kusherehekea kuzinduliwa kwa kiwenda kinachohusika na uuzaji, pia utengenezaji wa magari ya aina ya "Datsun" na "Nissan".
    NENO LA WASOMAJI publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Bakisi-Shabunda: Wakaaji wa kijiji cha Bakiunga wanaomba Kufunguli wa kwa kiongozi wao Kenda-kenda
    Gazeti "JUA" ni baraz a linalokusanya pa moja waandishi na wasonaji kwa kusimulia kindugu ili kila mmoja wao apate kutoa moani yake akitegemaa ukweli.
    NENO LA WASOMAJI publié par JUA il y a 2 ans
  • Basile-Mwenge: Yafaa kiongozi wa kijiji cha Muzingwa aheshimu wanawake wa wenzie!
    JUA mpenzi, Ninayo fureha kubwa ya kuzungunza nawe katika ukurasa wetu huu sisi wasomaji kwani matezamia kututolea maoni yangu kuhusu magumu mbalimbali tunayotendewe na kiongozi wa mkoa wa saile, mtaa wa Mwenga.
    NENO LA WASOMAJI publié par JUA il y a 2 ans
  • Kabare: Kwa nini asili ya ukoo wa Irhambi-Katana yazarauliwa?
    JUA mpenzi, Tumesoma kwa utaribu wetu habari zinazoelekea jimbo letu la Kivu ambazo ulizibangaza katika gazeti lako ulilopiga chapa mnamo terehe 8 mpaka 14 Novemba 1980, Katika habari hizo ultujulisha kwamba mwananchi CIZUNGU Bahirwe alitajwa na wakuu wa serikali jimboni kuwa kiongozi wa mkoa mdogo wa katana, katika mtaa wa Kabare
    NENO LA WASOMAJI publié par JUA il y a 2 ans
  • Beni: Watenda moavu waliungunza vyumba vya kazi vya serikali na makao 18 ya wakaaji
    JUA mpenzi, Siku hizi, sisi wakaaji wa mtaa wa Beni tunaïshi katika wasi wai kubwa. lingwa wakuu wa mtaa wetu hufunya katzi za vizuri katika ukomo wa kuleta maendeleo katika mtaa wetu wa Beni, watenda maovu hao wasiojulikama vema wajiruhusu kuharibu kazi hizo wakileta hivi hofu katika nyoyo za wakaaji.
    NENO LA WASOMAJI publié par JUA il y a 2 ans
  • Kwako bibi : Mashauri machache kwa kupokea bwana nyumbani
    Katika maisha ya watu duniani yaonekana kuwa ni bibi ndiye anayemfuata bwana katika harakati za kuongoza nyumba. Ni yeye ndiye anayechukua ngazi ya pili kisha bwana.
    Swahili publié par Mubangwa N'tawiniga il y a 2 ans
  • Kumbe haifai kucheza na kindingi
    Jua Mpenzi, mimi ni msomaji wako wa daima. Napenda leo kukuandikia hii mistari michache kusudi ya kutoa nje tabia mbaya ya wale wanaozoeya kuita apa kwetu kindingi, kanyanga ao lutuku... Pombe ya hiyo ina vinyume vibaya kwa ginsi yatuletea magumu katika maisha yetu ya kila siku.
    Swahili il y a 2 ans
  • Ujapani : Dada Mulumba Katina mashindano ya urembo
    Katika toleo lake la tarehe 31 agusti mpaka 1 septemba iliyopita gazeti Salongo linalopingwa chapa kila siku nuko Kinshasa latupasha kuwa akina dada.
    Swahili publié par KH il y a 2 ans
  • Michezo : "Léopard" yaondoshwa katika kombe la Afrika
    Wazaliwa wa Zaïre kwa jumla na wale wapendelevu wa mchezo wa kandanda wa Jamhuri nzima ya Zaïre kwa upekee walibaki wenyi kusaga meno kubabaika wakati jeshi lao lilipondooshwa katika mashindano ya kugombea kombe la Afrika la mataifa. Adui si mwengine bali Moroko.
    Swahili publié par KH il y a 2 ans
  • Kwa kubaki bumani mwa masomo : Kila mwanafunzi apashwa kulipa Zaïre 3.672
    Habari zinazaominika kutoka Nyofu, zaeleza kuwa prezidenti wa chama jimboni alie pia liwali wa jimbo la Kivu, mwananchi Mwando Nsimba amechukua mnamo tarehe 26 agusti.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 2 ans
  • Hatari mlangoni : Kumbe tembo wateketezwa !
    Mungana husema : Siku za mwizi ni arubaini. Kweli masemi hayo hayo si ya uwongo kwani habari zinazaominika na zilizotolewa na mwandishi wetu Wakilongo Nyembo ambaue ahusika na kituo chetu mjini Goma...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kinshasa : Watu 12 walifariki kutokana na msiba ya ndege
    Siku ya posho tarehe 14 ogusti iliyopita, ndege moja ndogo (petit porteur) iliyokuwa ikitoka kwenyi uwanja wa ndege wa Ndolo na kujilekeza Boma ilianguka katika mkoa wa Matonge na kusababisha vifo vya watu 9 kwa rafla.
    Swahili publié par Lubunga K'Yoba il y a 2 ans
  • je, umesikia... ?
    KAMA : uwizi ya vyombo ya moto wa stimu wazidisha mjini Bukavu ?
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Tuzungumze : Akina dada na kaka wetu si mujiheshimu !
    Ngoma ikilia sana haikuwi kupasuka na ivumayo haidumu hunema mzee mungwana. Kulingana na maneno hayo nimejiruhusu kushika tena kalamu yangu kwa kuwajulisha jambo moja linalotusonga moyoni wakati ninajitembeza mikoani.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kisha miaka 15 : Barabara Walikale-Masisi imefunguliwa upya
    Kisha miezi sita ya kazi ngumu, wakaaji wa mitaa ya Walikale na Masisi walifungua barabara inayounganisha mitaa yao miwili. Barabara hiyo ina kitambo cha kilometri 156.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 2 ans
  • Kivu ya Kusini : Padri Gapangwa atajwa Ascofu mpya wa Diosezi ya Uvira
    Mnamo tarehe 27 julay 1985, Baba mtaktifu wa Roma, Papa Yoane-Paulo wa pili alimtaja padri Gapangwa kama vile askofu mpya wa diosezi katoliki ya Uvira.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Je, umesikia ...?
    KWAMBA yule aliyekuwa akitjitita kuwa mtumishi wa gazeti Elima ahusikae na matangazo ya biashara (agent publicitaire) amegeuka mwizi ? kisha kupewa kazi ya kuuza (vendre) na kugawa magazeti katika maofisi mbali mbali ya huko Goma...
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Shahiri : Mateso
    Wapi ! Maisha kanitupa Nyumbani njaa Kazini magumu Popote tabu...
    Swahili publié par Tangolek il y a 2 ans
  • Tuzungumze : Eti wandumba wa Bukavu washambulia Kivu ya Kaskazini !
    Panda ovyo hula ovyo na mpenda yote akosa yote. Maneno hayo ya muungwana hayakosi maana kama habari toka Goma, mji mkuu wa Wilaya ya Kivu ya Kashazini ni ya wandumba ya Bukavu.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Baada ya kula nyama yenyi kugonjwa watu watatu wafariki dunia
    Habari toka mtaa wa Masisi, wilayani Kivu ya Kaskazini, zajulisha kuwa watu watatu walifariki dunia katika mkoa wa Gatoyi baada ya kula nyama isiyopingwa na mganga.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Machache juu ya masimulizi ya Raïs Mobutu na Raia kijijini Kinkole
    Kama sidanganyike, nazani kuwa, na sisi wote twajua kama Waarabu walitesa mabatu utumwani na leo hii mbuni Kadhafi aliye pia Mwaarabu apoteza feza zake bure akituma watu wakukodeshwa kutia mizozo katika nchi ...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Je, Umesikia ...?
    KUWA mungwana husema : aliyemnyima mwenzake nyama ya senji (rongeur), mbuluku akamnyama nyama ya mbogo.
    Swahili il y a 2 ans
  • Hatari mlangoni : Vikto, Ruku na Maheshe walitoroka Jela
    Habari zinazoaminika zajulisha kuwa wafungwa Bisimwa Chibalonza "Vikto", Bisimwa Kalenda "Ruku" na Maheshe walitoroka kunako jela kuu la jimbo mjini Bukavu usiku wa tarehe 30 juni na tarehe 1 julay 1985 punde za saa 9 za usubuyi.
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Machache juu ya masimulizi ya Raïs Mobutu na Raia kijijini Kinkole
    Katika mpango wa kusherehekea miaka 18 ya sikukuu ya wavuvi na kuundwa kwa feza Zaïre, kijijili Kinkole (mjini Kinshasa), Baba wa Taifa, Raïs Mobutu Sese Seko, alisimulia na Raïa bila vipenge wakati alipokuwa akiwahotubia.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Jamhuri ya Zaïre yatimiza miaka 25 ya Uhuru
    Ni mnamo tarehe 30 Juni mwaka ya 1960 ndipo kazaliwa Jamhuri Zaïre. Tanguu tarehe hiyo ambako Taifa letu Zaïre lilijinyakulia ushindi katika mikono ya wahajiri (wakoloni) kutokana na juhudi zilizofanywa...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Uhusiano kati ya Ubeleji na Zaïre waimarisha
    Safari aliyoifanya Mfalme Baudouin, Malkia Fabiola na ujumbe muhimu toka nchi rafiki ya Ubeleji ili kusherehekea na Wana-Zaïre kumbukumbu yay miaka 25 ya uhuru wa nchi ya Zaïre iliimarisha uhusiano wao.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kwako bibi : Enyi ndumba si mutuache huru !
    Tega sikio nikueleze. Kwa leo, vijana wavulana (garçon) wanapopata habari ya kuwa bibi malaya amefariki waanza kujitembeza kwa hali ya kitisho.
    Swahili publié par KH il y a 2 ans
  • Mikonga 76 ya Tembo imeshikwa kimagendo
    Habari zilizoletwa ofisini mwetu na kiongozi wa gazeti JUA pa Goma zaeleza kuwa wachuuzi kimagendo hawana tena haya na woga.
    Swahili publié par KH il y a 2 ans
  • Bashizi Kanena : "Mwaka huu hatutaki mzaa"
    Ni siku ya tatu tarehe 19, baada ya kulisakanya timu la Zaïre-bank boa moja kwa bila bila siku ya Mungu tarehe 16 juni, katika pambano la kwanza, katika mchezo...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Je, umesikia... ?
    KUWA wafanyabyashara wa pale Uvira watetemeka siku hizi ? 16 kati yao washtakiwa na ofisi ya kuchungua magendo mipakani (Ofida).
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Waharamia 7 toka Lybia walionyeshwa kwa wapashaji wahabari
    Mareshali Mobutu na askari-jeshi wetu shujaa wawangoja wahusi wowote bila woga. Kisha kutangaza kwa habari juu ya vitendo vya uhuni na uharamia vilivyotaka kuendeshwa na wakafri 7 waliofunzwa nchini Lybia...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Mkoa wa Kabare wakaa juu ya makaa ya moto
    Hapo majuzi, siku ya kwanza tarehe 27 may 1985, mwananchi Karhebwa Kanyabalirwa, makamu wa presidenti wa Baraza la washauri katika mkoa wa Kabare...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Uakili wa uchunguzi wa mishahara wafezeeshwa
    Ebu ! Mambo yamegeuka kunako uakili (commission) wa uchunguzi wa mishahara. Ingawa hao wanaohusika na hesabu na malipo mishahara (comptables) walivunduliwa na kupelekwa mbele ya waamzi na kuachishwa kazi, wamerudishwa kazini kwa mshangao mkubwa.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kamati kuu ya chama : Mareshali Mobutu kakusanya wanamemba wa chumba imara
    Habari toka Kinshasa zajulisha kuwa, Mareshali wa Zaïre, Mobutu Sese Seko, Prezidenti muundaji wa Chama cha Mapinduzi, aliwakusanya wanamemba wa Chumba imara cha kamati kuu ya Chama na wakuu mbalimbali nchini kunako makao yake y Kampi Koloneli Tshatshi.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Mama Bobi Ladawa awasaidia wagonjwa
    Mjini Kishasa, mke wa Raïs wa Jamhuri, Mama Bobi Ladawa, aliwatumia viongozi na wagonjwa wa Hopitali kuu Mama Yemo dawa na vifaa vingi kwa matibu ili mwelezo wa kwimarisha mpango wa miaka saba ya kijamii utimizwe barabara.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • ITALIA
    Bwana Ali Agça aliyetaka kumuua Baba Mtakatifu wa Roma, Papa Yoane-Paolo wa pili alieleza mbele ya waamzi ya kuwa silaha aliyotumia kwa kumpiga Baba Mtakatifu risasi na hivi kumuondowa dunia...
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Je, umesikia...?
    KAMA mbwa halali na mafuta tumboni ? Huyo bibi anayejidia kuwa mchuuzi, akijiruhusu kuuzisha risasi kimagendo baada ya "kujimwanga porini" mjini Bukavu toka Goma alishikwa mateka ?
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Eti ni "Wabwana kuu" ndio wachuuzi wa Risasi
    Wakati Baba wa Taifa, Mareshali Mobutu ahusika na kuinua maisha ya raïs pia usalama wa wakaaji na mali zao bila kusahau ukingo wa wanyama wanaowavuta watalili toka nchi za kigeni na kuingiza feza nyingi za kigeni...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kwako bibi : Ebu mama nchuuzi, feza hizo zote zatoka wapi ?
    Wakati Baba wa Taifa, Mareshali Mobutu atafuta majawabu kwa kuimarisha siasa ya kiuchumi na ya kijamii nchini.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • SUDANIA : Wakaaji milioni 11,5 waangamizwa na ukame
    Habari zilizolewa na Unicef zazulisha kuwa ukame waangamiza watu zaidi ya milioni 11,5 nchini Sudania ingawa serikali ya zamani ilikuwa ikificha hali hiyo
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Tuzungumze : Wazee wetu wachungwe !
    Kwa sasa hapa mjini Bukavu, ukatembea mikaoni na kandokando za mji, utapingwa na bumbuazi kiwakuta...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kwako bibi : Nyama ya kuku imeruhusiwa sasa ?
    Katika mahali mengi hila ya mabubu ili wakataza kabisa wanawake kula nyama ya kuku, nyama ama samaki fulani fulani.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Sungura kalia machozi, Bisimwa kasaga meno
    Kunako chuo cha Ibanda mjini Bukavu, mnamo tarehe 1 juni 1985, wajumbe wa wanamemba wa Shirika la akiba na mkopo (COOCEC) walikutana katika mkusanyo wao mkuu.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • SHAIRI : Sala kwa hela
    ...Hela ama Franka Pesa, makuta nakusalimu
    Swahili publié par Tangolek il y a 2 ans
  • Je umesikia ... ?
    KAMA huyo makamu wa mwenyekiti wa mtaa wa Bagira, mwananhi A.S. ...ingawa alipigwa bakora ya kimapinduzi na kuachinshwa kazi kwa muda, ali jiruhusu kulipisha feza na kuomba vyakula kazaa kwenyi soko moja ya mtaa wake.
    Swahili il y a 2 ans
  • Raïs Mobutu kawasili Israeli
    Ni mnamo tarehe 12 Mai 1985, ndipo Raïs Mobutu na mkewe Boni Ladawa kawasili nchini rafiki ya Israeli.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kaddafi aturegezee !
    Kufwatana na mambo yanayofanyika barani Afrika kwa kutia nchi na viongozi kazaa Barani katika hatari, hasa hatua kali ya kumuua Baba wa Taifa, Prezidenti-Muundaji wa chama...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Sikash ipo tayari kwa kutengeneza mabarabara
    Kisha kuzinduliwa kwa visima vya maji ya kunywa huko Mushekere na liwali wa jimbo, bila kusahau vituo vya kutunziamo wagonjwa...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • CHINA: Mwananchi Mutiri aimarisha uhusiano kati ya Zaïre na China
    Kulingana na masimulizi aliyoyafanya makamu wa waziri mkuu wa nchi rafiki ya China, Bwana Tian Yiyun na ujumbe wa kamati-kiongozi ya muungano wa upashaji wa habari nchini Zaïre...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kwako bibi : Siri ya mkoba
    Wakati twajitembeza njiani, twapingwa na bumbuazi kuona kila mama awe kazini ama hapana apenda sana kubeba mkoba (sac à mains).
    Swahili publié par Bujiriri Mwangaza il y a 2 ans
  • Kivu ya Kashazini : Viongozi wa "PLZ" watesa watumishi
    Prezidenti wa Chama jimboni alie pia Liwali wa jimbo la Kivu, mwananchi Mwando Nsimba alitembelea katika siku zilizopita shirika "PLZ" linalopatikana katika mtaa wa Rutshuru...
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 2 ans
  • Kivu ya Kusini : Diosezi ya Uvira yakosa askofu
    Habari zilizoletwa ofisini mwetu na kiongozi wa gazeti JUA huko Uvira, mwananchi Musemi Kilondo zaeleza kuwa tangu Julay 1984 diosezi ya Uvira haina askofu.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 2 ans
  • Kinshasa : Mipango mipya kwa kutangaza enjili
    Tangu tarehe 7 hadi 14 aprili iliyopita, wachungaji (pasteurs) wa makanisa mbali mbali ya kiprotestanti walikusanyika kwenyi "Lycée Dr. Shaumba"...
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par Lubunga K'Yoba il y a 2 ans
  • Mnamo tarehe 20 mai 1985 : Chama cha mapinduzi "MPR" kimetimiza miaka 18
    Ni kweli miaka 18 imetimu tangu hapo Mareshali Mobutu kaunda kiserikali Chama cha mapinduzi "MPR" kunako jiji la N'Sele mwaka wa 1967 tarehe 20 may baada ya kutangaza nia yake hiyo kwa wapasha...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Barua wazi kwa munyampara wa mji wa Bukavu
    Mwananchi Ndala wa Ndala, ulipofika hapa mjini Bukavu, tulikupingia kengele na kukupasha ya kuwa mafuta kutoka Walikale na tomato ya Mudaka.
    Swahili publié par Alamsiki il y a 2 ans
  • Je umesikia ...?
    KWAMBA kuna jamaa wanaopiga wengine juu ya kulipishwa madeni ? Jamaa mmoja ambaye aliomba "3 Z", alimvizia huyo mzungu na mpaka akamchonganisha.
    Swahili il y a 2 ans
  • Michezo : Kombe la Afrika timu bingwa : Bilima Kaichakaza Cara
    Siku ya Mungu tarehe 19 may 1985, baada ya kuisakanya Cara boa moja kwa sifuri (1-0) kwenyi uwanja wa Mapinduzi (Stade de la Révolution)...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Tuzungumze : Adabu kwenyi kisima cha kuogelea
    Siku za leo huona huku na kule kufanyika visima vya kuongela. Kuongela, kweli, ni moja kati ya michezo kamili (sport complet) na inafaa kuucheza kwani una mafaa mengi kwa afya.
    Swahili publié par Kimengele Kimode il y a 2 ans
  • Habari za popote : Bukavu
    Kiongozi wa ofisi yenyi kuhusika na uchunguzi wa usafirishaji wa bizaa mipakani (Ofida), aliwasili mjini Bukavu ambako aliongoza kazi za seminari juu ya elimu na maelezo kazaa kwa wafanyakazi wa ofisi hiyo.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Koloneli Akeye anaendelea na uchunguzi wa majeshi
    Kiongozi wa kikosi cha saba kinachochungua jimbo la Kivu, mwananchi kiloneli Akeye Ahansoni alianza uchunguzi wa majeshi ya Kivu tangu tarehe 16 aprili iliyopita.
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Je, Umesikia ... ?
    KWAMBA mungwana husema : "Heri twaa kama inshallah utapata ?".
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Shahiri : BUKAVU
    Ona Bukavu Mji mashuhuri Wa mabonde Milima, mito na Maziwa
    Swahili publié par Tangolek il y a 2 ans
  • Bwisha-Rutshuru : Watoto wa Mwami Ndeze wapigania mali na madaraka !
    Aliongeza kusema kwamba ngombe hizo ziliweza kupingwa bei wakati baba yao alipokuwa angali bado mzima na kuwa haoni kisa kinochowasukuma...
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Liwali Mwando alitembelea Kivu ya Kaskazini
    Siku ya kwanza, liwali Mwando alijielekeza Rwindi, kunako shamba la wanyama mbele ya kwenda Gisenyi ambako aliaminika kukutana na mwenzie wa Rwanda.
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Kwako bibi : Chagua kati ya chakula na kitenge cha siku kuu !
    Nafasi tunakoishi ao kutembelea, kwaonekana mambo inayotushangaza na kutuvunja moyo. Kati ya mambo hayo twaweza kutaja huba wanayo akina dada na mama kwa kuvaa vitenge vipya...
    Swahili publié par Alamsiki il y a 2 ans
  • Soudan : Nimeiri amepinduliwa
    Habari zinazoaminika kutoka Karthoum, mjii kuu wa Jamhuri ya Soudan zaeleza kuwa, Bwana Ghaffar El Nimeiri hayupo tena raïs wa nchi hiyo.
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Tuzungumze : Adabu kwa kula chakula
    Unapoitwa kwa jirani kwa kufurahi ao kusikitika naye mara nyingi utaelikwa pia kula. Kwa ginsi yako ya kula au ya kunywa hutambua malezi ambayo ulipita nyumba ni kwa wazazi...
    Swahili publié par Kimengele Kimode il y a 2 ans
  • Maniema : 175.000 Z zimerudishwa katika sanduku la serikali
    Kisha ziara ya siku tatu huko. Kindu, mji kuu wa wilaya wa Maniema, makamu wa jimbo la Kivu, mwananchi Endjonga ambaye pia aongoza kamati ya uchunguzi wa malipa mishahara ya matumishi wa serikali...
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • "Léopards" wangoja kusakanya "DIABLE ROUGE"
    Wapendelevuwa mchezo wa kandanda kutoka Kinshasa na Brazzaville, watajielekeza kesho kunako uwanja wa tarehe ishirini mai (stade du 20 mai) kwa kuhuzuria mchezo wa kanda kati ya majeshi ya Taifa ya Congo na Zaïre.
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Kwako bibi : Masomo ya juu siyo mlango wa ukahaba !
    Dada mpenzi, ulipomaliza masomo ya sekondari, ulifikiri kama umeumaliza mwendo, na jamaa lote lilifurahi sana.
    Swahili publié par Lubunga Bya 'Ombe il y a 2 ans
  • Kinshasa mnamo tarehe 15 aprili 1985
    Habari zinazoaminika kutoka Kinshasa, mji kuu wa Jamhuri ya Zaïre zaeleza kuwa kamiti kuu ya Chama chetu cha Mapinduzi (Comité central du MPR) itafungua milango yake siku ya kwanza tarehe 15 aprili ijayo.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 2 ans
  • Tuzungumze : Adabu nyumbani mwa Sinema
    Katika Afrika ya kisasa watu karibu wote wajua sinema vizuri sana na hupenda kuiona mara nyingi. Kwa kweli sinema, zaidi yay kutufurahisha, inatuelimisha na kutupatia maarifa mangi...
    Swahili publié par Kimengele Kimode il y a 2 ans
  • Mwananchi Edjonga awatetemesha walinda Feza
    Siku hizi, walinda Feza ambao wanayo tabiya mbaya ya kuchopoa feza za serikali watiliwa lisani pembeni.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 2 ans
  • Jemadari Mobutu yupo kilioni
    Tangu siku ya tano tarehe 30 januari mwaka huu, jema dari Mobutu Sese Seko yupo kilioni
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Mkutana mkuu wa chumba
    Mjutano wa kwanza wa Chumba cha Siasa mnamo mwaka 1981 uliosimamjwa na Rais Mobutu mwenyewe, umefanyika mnamo tarehe 5 mpaka 6 februari katika mashua yake litwayo M/S kamanyola
    Swahili publié par Lusanga Ngiele il y a 2 ans
  • Mwananchi Makolo alisema: Bei ya biashara ni ghali sababu ya upuuzi wa wachunguzi wa bei jimboni na mjini Bukavu
    suku ya tatu tahere 28 januari 1981, nafou wa Liwali wa Kivu ahusikaya na kazi za serikali, mwananchi Makolo jibikilayi, aliwakaribisha chumbeni mwake wa kazi mwenyekiti wa mji wa Bukavu , mwanamapinduzi lokomba Kumuadebani, nakiongozi wa vyumba vya serikali vihusikavyo na uchumi, akiba na uchunguzi wa bei ya biashara jimboni, mwananchi Mutombo
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Arkidiosezi ya Bukavu na viongozi wa jimbo, wafia nini?
    Mjini Bukavu, wakaaji wapigwa bumbuazi kutokana na mzozo ulioko kati ya arkidiosezi katoloki na viongozi pia wakuu wa serkali jimboni. Kisa cha mzozo huo ni kiasi cha udongo chenyi hektari 6 na vipande amako nyumba 9 ngwa
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Arkidiosezi ya Bukavu na viongozi wa jimbo, wafia nini?
    Akiwahubiria wahuzuriaji katika misa kasomwa kwa ajili ya roho ya marechemu Mama Mobutu, mke wa kwanza wa Raïs wa Jamhuri ya Zaïre na ambale kafariki dunia tangu miaka 12 sasa,
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Mwana wa 1989 kwa ufupi
    Katika mwezi wa: Januari: Masilizano kuhusu urafiki kati ya ufalme wa Ubelgigi na Jamhuri ya Zaïre kajulishwa 1: Prezidenti -muundaji wa Chama cha Mapinduzi "MPR", Mareshali Mobutu kawasiri mjini Mbuji-Mayi ambako
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Arkidiosezi ya Bukavu na viongozi wa jimbo, wafia nini?
    Ikichunguliwa kwa karibu, baaba ya uchunguzi kafanywa na Gazeti JUA, kiasi cha udongo wa hektari 4 kwa hicho cha hektari 6 kapewa Arkidiosezi kilipaswa kukabizwa eti kwa kikundi kimoja cha viongozi na wakuu serkalini.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Uhariri: Heri na Fanaka
    Kweli, maka 1989 Katezamiwa kupita kama umeme angani. Wote walio bado duniani twafurahia na kuukaribisha mwaka mpya 1990 tukishangilia Mwany Ezi Baba Mungu Muumbaji, kwa vigelegele.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • KWAKO BIBI: Eti kwanza kitenge cha sikukuu
    Siku za leo madarajani kote wakati siku za siku kuu zakaribia, mabwana husikia na waona cha mwende mukaone wasi jue la kufanya. Na hiyo ni kutokana na tamaa kawashika akina bibi hata mama wa jamaa wasijue magumu yanayosonga jamaa na watupilia mbali kujua pato la mme wakisisitiza tu kupata kwanza kitenge cha siku kuu.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Je umesikia...?
    KUWA mjini Bukavu wakaaji na wapitanjia hasa wadereva watishwa bado na hali ya mabarabara? Je? Kwa kuwa tu mashimo yaendelea kuongeza siku kwa siku isiwe tu na maji ya mvua bali pia na hilo shirika la SOZAGEC lenyi kuhusika na kutawanya mirija kwa maji safi ya kunywa baada ya kuchimba mashino
    Swahili il y a 2 ans
  • Tuzungumze: Adabu kwa wazee
    Katika nchi za Ulaya na za Amerika huona watu kuzarau wazee. kwa siku hizi wana-Afrika wengi huanza kuiga kigeni. Ndiyo hivo huwasikia mara na mara kuwatusi wazee, kuwazomea na kuwazarau wakiwatendea kwa kanyoro na wakiwajaza aibu.
    Swahili publié par Kimengele Kimode il y a 2 ans
  • KANISA LA ANGLIKANI: Shemasi Mbusa apewa upadirisho
    Mnamo siku ya Mungu, tarehe 10 Desemba 1989, diocezi ya kianglikani ya Bukavu kajipatia padri mpya. Shemasi Mbusa Bangau kapewa sakramenta ya upadrisho kwa mikono ya askofu Dirokpa Balufuga mbele ya umati wa wakristu na wakuu wa serkali kunako Kanisa Mtakatifu Petro Mjini Bukavu-Muhungu.
    Swahili publié par Malekera Bahati il y a 2 ans
  • Bukavu : Hakuna masikilizano bora yaliyopatikana kati ya watetezi wa wafanyakazi na walimu
    Siku ya pili tarehe tatu februari 1981 wakati wa saa kumi kisha mchana, naibu wa katibu mkuu katika shirika la kiserikalilihusikalo na kuleta haki za wafanyakazi
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Rugamika na Masu, mali ya M.E.A imeenda wapi?
    Mjini Bukavu, muungano wa masaidiano na uamzi (MEA) katika mkutano wake wa kawaida wa mwaka huu ulioendeshwa mwezi wa oktoba,
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Padre Mulindwa katimiza miaka 19 ya kiaskofu
    Siku ya Mungu tarehe 24 Marsi 1985, wauminiwa dini ya kikatoliki wanaobaki jimboni mwa Kivu walisherehekea miaka 19 ya kazi ya kiaskofu ya Padre Malindwa Mutabesha...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Liwali Mwando : "Hatutaki fujo bali maendeleo ya mtaa wa Kabare"
    Siku ya nne, tarehe 27 marsi 1985, prezidenti wa chama aliye pia mwananchi Mwando Nsimba bako aliwakusanya viongozi mbali mbali wa mtaa wa Kabare (mikoa pamoja na vijijini).
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Tuzungumze : Adabu ya saa zote kwa madereva
    Hapa nita simulia juu ya yule ambae gari silake, yule ambae kutembeza ndiyo kazi yake.
    Swahili publié par Kimengele Kimode il y a 2 ans
  • Kwako bibi : Je akina dada wengi hugeuka wizi ?
    "Kweli dunia imekwisha kubadilika, wasema wazee ! Tunapingwa na mshangao mkubwa wakati tunaposikia ao kujionea wenyewe mambo ya aibu yanayotendeka siki hizi na pa mjini Bukavu.
    Swahili publié par Alamsiki publié par Bujiriri Mwangaza il y a 2 ans
  • Marais Buyoya, Habyarimana na Mobutu wajikamilisha
    Ni katika mpongo wa uhusiano wapaswa kuweko kati nchi tatu, ndugu , rafiki na jirani yaani Burundi, Rwanda na Zaïre, nchi hizo kaunda muungano wa kiuchumi "CEPGL".
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • BABA WA TAIFA AZUNGUMZA NA RAIA KIDEMOKRASIA
    Muda wa siku tatu, tangu terehe 30 januari hadi 1 februari 1990, Baba wa Taifa, Mareshali Mobutu alistarehe na raia jimboni mwa Kivu ya Kusini katika ziara ya kiserkali mjini Bukavu ambako kapokelewa na kusindikizwa
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Uhariri: UTASHI BORA
    Muungano wa kiuchumi wa nchi zinazopakana na maziwa makuu (CEPGL) ambao kaundwa mnamo tarehe 20 septemba 1976 na kufikilia hapo makesho miaka 14, ingawa muda huo si mrefu
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Je umesikia ?
    KUWA mjini Bukavu wakaaji na wapita njia hasa wadereva watishwa bado na hali ya mabarabara? Kwa kuwa tu mashimo yaendelea kuchimbua siku kwa siku isiwe tu na maji ya mvua bali pia na hilo shirika la SOZAGEC lenyi kuhusika na kutawanya mirija ya maji safi ya kunywa baaba ya kuchimba
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou publié par Lubunga Bya 'Ombe il y a 2 ans
  • HABARI ZA POPOTE
    Peru: Sherehe za Noeli kapigwa marufuko Uyahudi: Misaada ya Amerika yapigwa Ethiopia: Watu milioni moja hatarini! Panama: Huenda Noriaga akahukumiwa kifungo cha miaka 140 Walikale: Watu 15 wamepoteza maisha yao Ulaya ya mashariki: Watu hudai demokrasia
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Kivu ya Kusini; NJAA YAANGAMIZA WAKAAJI
    Katika jimbo la Kivu ya Kusini yaani mitaani Kabare, Walungu, Fizi, Shabunda, Mwenga na mji wa Bukavu, maisha ya wakaaji huhatarishwa kwa kuwa waangamizwa nanjaa, sawa vile mwaka wa 1984.
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Namba ya walimu itapunguzwa tena
    Habari zilizoletwa katika ofisi yetu na mkurugenzi wa chumba kinachohusika na mambo ya masomo ya msinji na sekondari...
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 2 ans
  • Adabu za saa zote: DEREVA AO MTEMBEZA GARI
    Hapa tutasimulia juu yule ambaye gari si lake, yule ambaye kutembeza gari ndio kazi yake.
    Swahili publié par Kimengele Kimode il y a 2 ans
  • Kwako bibi : Namna gani twaweza kutunza ugonjwa wa kuhara ?
    Wakaaji wa mjini wa Bukavu na wale wa kandokando walalamika siku hizi kutokana na magonjwa ya kila aina hasa yale ya kuhara bila kiasi.
    Swahili publié par Bujiriri Mwangaza il y a 2 ans
  • Tuzungumze : Iyolela binti malaya
    Hee ! Ni wengi kati yenu watakaoshuka na kupiga cheko wakijiuliza kama hiyo yawezekana.
    Swahili publié par Alamsiki il y a 2 ans
  • BENKU KUU YA ZAIRE KAFUNGUA SOKO LA UNUNUZI WA ZAHABU
    Ukomo wa Benki kuu la Zaïre kwa kununua zahabu ni kuipiatia nchi ya Zaïre feza nyingi, kanena Liwali wa Benki hilo mwanchi Pay-Pay wa Syakassighe ambaye hapo majuri kafungua keserkali soko la ununuzi wa zahabu mjimi Bukavu.
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Je, umesikia ... ?
    KWAMBA wale askari wala pupa waanza tena lwao katika mtaa wa Ibanda ? Kila mara askari watatu wakisharikiana na wafuasi wao raia watatu wajificha kando kando ya duka...
    Swahili il y a 2 ans
  • Jambazi kisala na wafuasi wake 3 walipigwa risasi na kufariki dunia
    Moja kwa moja kutoka katika kisiwa cha Idjwi tumesikia kuwa kuwa mnamo usiku wa tarehe 22 kuamkia tarehe 23 Februari 1985, kikundi kimoja cha majambazi kinachoogozwa na fundi-mwizi Bifuko...
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 2 ans
  • Rais Reagan alikutana na wapasha Habari
    siku ya nne tahere 29 january 1982 wakati wa usika nchini Amerika, Rais mpya Ronald Wilson Reagan alikutana kwa manzungumzo kwa mara ya kwanza tangu kuwa rais wa america na watangazaji wa nyumba mbali mbali za habari mwake.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Beni: Vinyume vya uchimbaji wa zahabu kimagendo na kuvuta 'Bangi kwa raia'
    JUA mpezi, kwa huzuni kubwa moyoni mwangu, nakutolea katika mistari ifuatayo, maoni yangu kuhusa vinyume vikali vya uchimbaji wa zahabu kimangendo na uvutaji wa tumbako ya bangi madunfo ya kihuni yanayofanywa na wamoja kati ya vijana wa kijiji chetu cha makiki, mtaa wa Beni
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Bitale: Angalisho ya wakaaji kwa mwananchi kabulele na jamaa yake
    JUA mpezi, Pokea malalamiko yetu sisi wakaaji wa mkoa mdogo wa bitale, mtaa wa katehe.
    publié par JUA il y a 2 ans
  • Kigongo-kivovo: Ninakanusha maandishi ya mwanchi mbashombo - wa - kangere yenene
    JUA mpezi, Nimesona kwa utaratibu wate gazeti lako namba 98 ulilopiga chapa mnamo tahere 24 mpaka 30 januari 1981 na umbano ulitangaza kibarua cha msomaji wako aliyejita mbashombo-wa-kangere yenene, kuhusu wapelelezi wa uwongo wanaosumbua wakaaji; wakiwa pia wanyanganyi katika mkoa mdogo wa kingongo - kivovo.
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Bukavu: Mbegu za samaki zikingwe
    JUA mpezi, Kwa makiwa mengi ninayo moyoni mwangu, makiwa amibayo yanisukuma kukutolea maoni yangu yafuatako kuhusa kuhaaribika kwa mbegu za dagaa tuitazo "sambaza" katika mji wetu wa BUKAVU;
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Maulizo na majibu
    Onzo 1) kuna mashurti gani kwa kutandikia gazeti JUA? 2) Malipo ni gani?
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Tangu siku ya pili tahere 3 Februari 1981: Vyumba nya kazi za Liwali vilihamishwa mahali palipokuwa "hotel de ville"
    Naibu wa liwali wa Kivu ahusikaye na mwenendo wa kazi za serikali, mwananchi Makolo jibikilayi, aliwajulisha wanachama na wakaaji wote jimboni hasa kabisa mjini Bukavu kuwa, tangu siku wa pili tahere 3 Februari 1981.
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • KUTAFUTA NDUGU
    Mwananchi Ilunga Kondo Mkaaji wa Uvira, anamtafuta mwipwa wake aliyekuwa akijulikana kwa jina la Kalonda "Jean".
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Wakuu wa Kivu ya Kusini washurulika hasa na kilimo na ujenzi wa mabarabara
    sika hizi, mwenyekiti wa wilaya ya Kivu ya Kusini.
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Liwali Dilingi katika ziara ya kiserkali mitaani mjini Bukavu
    Mnamo tarehe 8 hadi 10 Marsi, liwali Dilingi Liwoke La Milengo katembelea wakaaji wa mitaa ya Bagira, Ibanda na Kadutu ambayo yaunda mji wa Bukavu katika ziara ya kiserkali ya uchunguzi na ya kutolewa maelezo kamili kuhusu uongozi wa mitaa hiyo.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Uhariri: Fundisho kubwa mwalimu Mobutu
    Baada ya hewa ya kidemokrasia kuanza kuvutwa urusi, leo hii hewa hiyo yaonywa kupeperushwa isiyo tukatika nchi za kisosialisti zenyi kutegemea siasa ya kikomunisti Barani Azia Afrika na mabadiliko mengi yatukia katika uongozi wa vyama na siasa nchini ulimwenguni.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Wagonjwa wa SIDA, mzigo kwa umma
    Ugonjwa wa SIDA waonekana kuwa ugnjwa mpya amabao hutisha watu. Wakati ugnjwa huo humshika mtu, huyu aenekana kama "lufukaribu".
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kwako bibi: Eti punda wataweza kurahisisha kazi za wamama
    Bado kitambo kitogo kazi za wamama ziaweza kurahisishwa mjini Bukavu. Punda watatolewa na kamati "Anti-Buaki" kwakubeba mizigo ambayo kawasumbua siku nyingi.
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Mama Bobi Ladawa kazindua kijiji cha mayatima S.O.S Kinderdoof
    Mnamo tarehe 25 febbruari 1990 Mama Bobi Ladawa, mke wa Raïs wa jamhuri, Mareshali Mobutu, kazindua kijiji cha watoto yatima S.O.S.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Je, umesikia...
    KWAMBA shirika "ORGAMAN" ambalokateuliwa na benki kuu ya Zaïre kwa ununuzi wa zahabu lipo heatarini? Je? Eti kisha kufutuzwa kwa mgeni moja muzungu ambaye kashtakiwa upokonyaji wa feza, raïa wawili nao kashtakiwa kuwa kapeperusha kiasi cha zaïre 500.000.
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Tunatayarisha je majilio ya mwaka 2.000 ?
    Ndugu wapezi na wahashami, Bado kidogo itatimia miaka miwili tangu kimetanganzwa kitabu cha serkali yetu juu ya maoni na mipango mipya ya ndoa, familia na taifa.
    Swahili publié par Mzee Munzihirwa il y a 2 ans
  • CODELU YAHUSIKA NA MAENDELEO YA LUHWINDJA
    Katika mkutano wao wakawaida kuhusu ripoti ya mwaka 1989 uliofanyika mjini Bukavu mnamo tarehe 11 Februari 1990 kunako jumba...
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Masomo ya msingi: "Chipuku II" mjini Goma yaliunguzwa na warugaruga wasiojulikana bado
    Goma, mji mkuu wa wilayi ya kaskazini, ni moja kati ya mija mikuu yenye mafaa makubwa kwa caifa letu kwa.....
    publié par JUA il y a 2 ans
  • Kwabo bibi: Ni vema kujua mshahara wa mme ao mke wako?
    Kusudi kwa koyumununula movazi ya lazima kadiri wasemavyo
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 2 ans
  • Kanisa la kikatoliki ya Bukavu kwa maendeleo ya umma
    "Centre Olame", Mfano bora Katika mpango wake wa maadibisho na pato la maelezo kamili kuhusu mashirika na vyamba vya kazi kazaa, wandishi wa gazeti "JUA" waliweza hapo majuri kutolewa maelezo juu ya kazi ziendeshwazo katika vyumba na viwanda...
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Kwa nini misiba hutukia mabarabarani?
    Kulingana na masimulizi tuliyoyafanya na Kamanda wa kikosi cha askari walinda usalama mabarabarani mjini Bukavu, mwananchi Fefe, katueleza kwamba misiba barabarani...
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Sifa na shukrani kwa Dactari RAU
    Kituo cha matibabu kaundwa na daktari RAU na kinachopatikana katika kijiji cha Chiriri kandokando ya mji wa Bukavu chajitatanua tangu mwaka wa 1985 kuyasaga na kuyalaza...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Uvira : Maji ya Regideso yachafuka na mvua
    Habari ya kitisho iliyotumwa ofisini mwetu na mjumbe wa gazeti JUA, mwananchi Musemi Kilondo zaeleza kuwa maji inayotiririka katika mabomba ya shirika Regideso ni machafu kabisa.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 2 ans
  • Mwezi ya nane ujao : Baba mtakatifu wa Roma, Yoane-Paulo wa pili atatembelea Jamhuri ya Zaïre
    Baba mtakatifu wa Roma, Yoane-Paulo wa Pili atawasili barani Afrika mwezi wa nae (Ogusti) ujao. Safari ya mheshimiwa huyo yalingana na mpango wa mafundisho ya Eklezia Katoliki ulimwenguni.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Shabuda : Wachuuzi wa reja reja wanateswa ovyo !
    JUA mpenzi, Huni mara ya pili nachukua kalamu yangu kusudi ya kutoa nje nje tabiya mbaya ya wale ndungu wanaopinga na kusonga maendeleo ya nchi yatu.
    Swahili il y a 2 ans
  • Tuzungumze : Ugonjwa wa moyo watoka wapi ?
    Mara kwa mara watu hupingwa na mshangao wakati wanapomuona mtu fulani kuanguka ao kukutwa kitandani amekwisha kufariki.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • DAFTARI KAMILI YA WANAMEMBA WA SERKALI
    Hapo majuzi Prezindenti-muundaji wa Chama cha Mapinduzi, Mareshali Mobutu, kabadidi wenyekiti madarakani katika Chama-serkali. Mabadiliko kafanya Baba wa Taifa yaonya kuwa ahusika na mwenendo bora unaopaswa kuweko katika kazi zahendeshwa kwa manufa
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou publié par Lubunga Bya 'Ombe il y a 2 ans
  • Bukavu: Biro ya mipango na maendeleo jimboni imeziduliwa
    Siku ya kwanza tahere kumi februari 1981, mwenyekiti wa mipango mbali mbali ya maendeleo nchini...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Kiongozi mpya wa posta jimboni yupo
    Kiongozi mpya wa shirika la poste jimboni, mwananchi ngwangwata lifindiki alifika mji Bukavu siku ya pili tahere kumi.....
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Rutshuru: Mwenyekiti mpya wa mtaa mwananchi Kombozi alionywa mbele ya wasaidizi wake
    Habari hamili toka Rutshuru, makao makuu ya mtaa mwenye kuwa na jina hilo zahakikisha kuwa, mwenyeki....
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Lubero: Seheru kubwa ya pori la Itondi yarudishwa kwa wakaaji
    Habari kamili toka chumba cha kazi liwali kwa muda.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Kwako BIBI: Kina mama wamoja wachuuzi wanaojielekeza kamembe wanakafilisha
    Kina mama wengi wa mji wa Bukavu hujielekeza kunako maduka na soko mbali mbali katika jimbo la (Cyangungu)....
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 2 ans
  • Goma : Chumba cha feza chapashwa kujilisha matumizi ya kiasi cha zaires 200.000
    Habari zenya kuaminike toka Goma, mji mkuu wa wilaya ya Kivu...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Jamadari Likulia yupo kati yesu
    Jemadari Likulia anayepatika na katiza ziara ya kiserikali jimboni mwa Kivu tanga...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Baraza la mawaziri : Askari walinzi wa usawa waache juwazulumu wakaaji
    Siku ya kwanza tahere tisa Februari 1981, mwanamemba wa chumba kikuu cha sisa...
    Swahili il y a 2 ans
  • Mwananchi Djoho alisema : Upuuzi wa viongozi waharibu maendeleo kivu ya kaskazini
    Tulipoanza maandishi yetu haya kuhusa hali na mambo yenke kupita kila mara katika wilaya...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Kampala : Askari polisi Wameshambuliwa
    habari zilizotangazwa na radio ya Kampala mji mjuu wa jamhuri ya Uganda...
    Swahili publié par JUA il y a 2 ans
  • Kalehe : Tunalazimishwa kumuabudu sultani Citenge wa Mafugo !
    Jua mpezi, bila kuingila maaandisha yangu na mafumbo mengi, nitaku...
    Swahili il y a 2 ans
  • U.P.ZA: le comité directeur s'est réuni à Lubumbashi
    Les membres du comité directeur de l'Union de la presse du Zaire (U.P.Za.), réunis en session mensuelle ordinaire...
    Informations générales publié par JUA il y a 2 ans
  • Bukavu : Kodi juu ya vyakula imepigwa marufuku
    Kutoza ushuru juu ya vyakula mbali mbali kunako soko kuu ya Kadutu kumepigwa marufuku na mnyampara wa Bukavu, mwananchi Ndala wa Ndala.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou publié par Kaboyi Habimana il y a 2 ans
  • Muuaji Chifende Bengehya kasulubishwa !
    Mungua husema : siku za mwizi ni arubaini na damu ya binadamu haimwagike bure. Kulingana na masemi hayo, mnamo tarehe 4 februari 1985, fundimwizi Chifende Bengehya alitiwa kwenye ngoti ...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Bagira : Amuli Sebuhoome amepigwa bakora ya mapinduzi
    Habari zinazoaminika kutoka ofisi ya mkuu wa jimbo zinaeleza kuwa mwanchi Amuli Sebuhome, makamu wa kiongozi wa mtaa wa Bagira (Commissaire de zone assistant) amejionea kweli cha mtema kuni.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 2 ans
  • Kutafuta ndugu
    Mwananchi Mukambilwa Basilwango Uratho, anamtafuta mkubwa wake anayejulikana kwa jina la Mukambilwa Mutembo Kasonga.
    Swahili il y a 2 ans
  • Kwako bibi : Angalisho, nipo bibi ya ... !
    Jambo linalo shangaza na kutuvunja moyo, ni ikuona kuwa ni mama wa jamaa zenyi pato la kadiri ndio wenyi kuwa wafurahivu na kuwapokea wageni bila ubaguzi wowote.
    Swahili publié par Bujiriri Mwangaza il y a 2 ans
  • Mabadiliko muhimu katika kamati kuu ya Chama
    Mnamo tarehe 28 januari iliyopita, Rais wa jamuri ya Zaïre Mareshali Mobutu Sese Seko alipiga sahihi hatua ya kuleta mabadiliko muhimu (importants) katika kamati kuu ya chama na Chumba cha siasa (Bureau politique).
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 2 ans
  • Liwali Mwando alisema : "Mwenye chake ni chake, mwenyi wake ne wake"
    Kunako na fazi ya tarehe 24 Novemba, Liwali Mwando Nsimba aliwahotubia raia kuhusu ziara yake huko Kinshasa. Mheshimiwa Mwando alimena kuwa kwa kuimarisha maendeleo ya nchi yetu, yafaa wakaaji waishi katika amani ...
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 2 ans
  • Hatari ya kufa
    Inajulisha kwa wakaaji wote, hasa wale wenye kuishi katika njia Katana-Goma, pa Katana, Kalehe, Dutu, Butale, Minova na Goma; kama kutoka tarehe moja mwezi wa pili mwaka huu wa 1985 ...
    Message il y a 2 ans
  • Kwako bibi : Suruali imeruhusiwa tena ?
    Kutuatana na mila za mababu yetu, ina maana yake ya kutambulisha tafauti kati ya mame na mke.
    Swahili publié par Bujiriri Mwangaza il y a 2 ans
  • Kwa kupiganisha "Kolera" yafaa kutumia maji safi
    Nilipigwa na bumbuazi (msangao, étonnement) niliposoma katika magazeti ya kwamba ugonjwa wa kipindupindu (kolera) waangamiza raia huko Bukavu.
    Swahili publié par Lubunga K'Yoba il y a 2 ans
  • Uhusiano kati ya China na Zaïre wadumishwa
    Ni tangu sasa siku nyi nchi za China na Zaïre zajitatanua kudumisha uhusiano wao katika mambo yenyikuelekea siasa, uchumi wa kiaskari.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kinshasa Itapokea seminari ya WAHUBIRI WA KIPROTESTANTI
    Mkutano mkuwa wa makanisa ya kiprotestanti utafanyika tangu tarehe 7 hadi 14 mwezi wa nne ujao.
    Swahili publié par Lubunga Bya 'Ombe il y a 2 ans
  • Kwako bibi : Kumbe bwana maskini kufukuzwa na mkewe ?
    Tangu wakati wa mababu zetu na kufuatana na maadibisho ya makanisa, mme ndiye mwenyi kuhitajiwa kuwa mkubwa wa jamaa. Hata serkali nayo yaamini jambo hilo.
    Swahili publié par Barhayiga Shafari il y a 2 ans
  • Vita kali kwa kuping kipindupindu
    Katika toleo n° 642, tuliwafasaria wasomaji wetu machache kuhusu namma ya kupinga ugonjwa wakipindupindu unao julikana hasa hapa mjini Bukavu kwa jina la Choléra.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 2 ans
  • Mabadiliko muhimu katika uongozi wa vikundi vya askari jeshi
    Kufuatana na hatua n°254 na 255, mareshali Mobutu Sese Seko anatoka kuwataja viongozi wapya wa majimbo pamoja na makamu wao.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 2 ans
  • Je umesikia ... ?
    Kwamba shirika linalohusika na ugawaji sa nguvu za umeme kwa kifupi cha kifaransa SNEL latutia lisani pembeni ?
    Swahili il y a 2 ans
  • Bumbuazi : Fungueni macho !
    Majambazi wanaotumia bunduki, gongo na mipanga watetemesha siku izi wakaaji wa mji wa Bukavu.
    Swahili il y a 2 ans
  • Mareshali Mobutu kafunga arusi na raia wake
    Nchi ya Zaïre yakusudia kusimika mambo kwa kuwatolea wakaaji maji safi kwa kunywa mahali mengi inchini mbele ya mwaka wa 1990.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kwako bibi : Ebu wajua dawa za kupunguza unene ?
    Kwanza ujifikiri mwenyewe kuchagua mitindo ya vyakula vya kutumia na ukipunguza pia kiasi cha vile uliviokuwa ukila kwa nusu.
    Swahili publié par Bujiriri Mwangaza il y a 2 ans
  • Bukavu : Ni kipindupindu ao kuhara tu ?
    Siku hizi, wakaaji wa mjii wa Bukavu na wale wa kando kando waendelea kunongoneza kuhusu magonjwa makali yanayowatetemesha.
    Swahili publié par Kaboyi Habimana il y a 2 ans
  • Tuzungumze : Unicef yahimiza wazazi wachungue afya ya watoto wao
    Shirika la Umoja wa mataifa linalohusika na ukingo wa watoto (UNICEF), limetangza ya kwamba zaidi ya watoto milioni 1,2 wanafariki kila mwaka kabla ya kufikia umri wa miaka mitano.
    Swahili publié par Lubunga K'Yoba il y a 2 ans
  • Bumbuazi : MALIMA AMEKWEPA
    Ebu wakaaji wa mji wa Bukavu, msipate mshangao. Akida Malima aliyemuua mwananchi Makombo amekwisha kujimwanga porini.
    Swahili il y a 2 ans
  • Lusaka-Zambia : Uchokozi wa makaburu wa Afrika ya Kusini wapingwa
    Nchi za mstari wa kwanza (Etats de la Ligne de Force) unaoundwa na Nigeria, Angola, Tanzania, Msumbiji, Zambia, Zimbabwe na Botswana zilikutana mji mkuu wa Jamhuri ya Zambia ...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Bukavu : Mwananchi Ngengo, Balezina Mwendambali waliiba kahawa za "Ozacaf" na "Pharmakina"
    Naiou wa kiongozi ahusikaye na uchungaji wa kahawa katika kiwanda wha shirika la "Ozacaf" mwananchi Ngengo akisaidiwa na wevi wenzie Balezi na Mwendambali ....
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Katibu mkuu wa Chumba cha kugombea haki ya wafanyakazi nchini ameachishwa kwa muda madaraka yake
    Mnamo tarehe 19 Februari 1981, katibu mkuu wa chumba cha kugombea haki ya wafanyiakazi nchini (UNTZa), mwananchi Mukwakani Gahungu, aliachishwa madaraka yake yote kwa muda.
    La chronique Politique publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Leo, Katibu mtendaji xa Chama cha Mapinduzi Bo-Boliko atasimulia na wanachama kunako "Ciné-Rwacico"
    Katibu mtendaji wa chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni mwanamemba wa chumba kikuu cha siasa, mwanasiasa Bo-Boloiko Lokonga aliyefika ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Mabadiliko mapya yamefanyika katika serikali
    Siku hizi, Mwanzilishi wa Chama cha mapinduzi, Rais Mobutu Sese Seko, alichukua atua ya kumboa kazini mwake waziri wa wazara ihusikayo na vyuo vikuu na uivasti nchini ...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • PAKISTAN : Baba mtakatifu wa Roma yupo safarini
    Baba Mtakatifu wa Roma, Yoane Paulo wa pili, alivitembelea siku hizi Visiwa vya Philippines.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Uvira : Bado kidogo "Sucrerie de Kiliba" itapokea vyombo vipya
    Siku hizi, Liwali wa Kivu kwa muda, mwananchi Djoho Tayeta, alimpokea kwa masimulizi chumbani mwake mwa kazi kiongozi mkuu wa shirika lihusikalo na ulimaji wa miuwa na kutengeneza ...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Bukavu : Mwananchi Disase anawashauri watumishi wa "Titres Fonciers"
    Baada ya kutambua kuwa uomboji wa vituliro, uuzaji na kutoa siri pia ukosefu wa zamiri ngema ya kazi vyakaribia kuozesha ...
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Walungu : Kiongozi wa masomo ya sekondari ya Kaya pa Kaziba anawaangamiza wanafunzi ?
    Jua mpenzi, kwa heshima na kitumaini kibubwa niacho katika maanashi yako, ninakuandikia barua hii ili uweze kumshauri kiongozi wa masomo ya sekondari ya Kaja hapa kaziba, katika mtaa wa Walungu.
    Swahili il y a 2 ans
  • Katana : Usipotisimiza kazi za kijamii (SALONGO), utafungwa na kulipa faini pa Luhihi
    Jua mpenzi, Pokea salamu zangu za mwaka mpya 1981. Nikiwa mmoja kati ya wasomaji wako wa dama, ninakuandikia barua hii kwa kukujulisha magumu yetu.
    Swahili il y a 2 ans
  • Fizi : Mwalimu Masiliya Kitoga Kipusa awafundisha wanafunzi wake wizi ?
    Jua mpenzi, ukomo wangu mkubwa ni kutoa kwenye mwanga wako mwenendo mbaya wa mwalimu Masiliya kitoga ...
    Swahili il y a 2 ans
  • Uvira : Eti "kuoga" katika mto kwaleta ugonjwa wa kipindupindu ?
    Jua mpenzi, uniruhusu kama vile wasomaji wako wengine kusimulia nawe ili nikutolee maoni yangu kuhusu mambo yanatendeka huku kwetu kufuatana na ugonjwa wa kipindupindu ama "cholera".
    Swahili il y a 2 ans
  • Beni : Timu "F.C. Mizimu" yazidi kusonga mbele
    Jua mpenzi, mimi ni mmoja ya wasomaji wako wa daima. Ikiwa ninakuandikia barua hii kwa mara ya kwanza, shabaha yangu ni kukupasha habari mbali mbali za mtaa wetu wa Beni.
    Swahili il y a 2 ans
  • Kalembe-lembe/Fizi : Kina mama Lusembula Selemani ahusika na kuinua maisha ya vilema !
    Tangu, tarehe 16 julayi 1980, kina mama Lusembula Selemani alisimika pa Kalembe-lembe, mjii mkuu wa mtao wa Fizi, kutuo binafsi kihusikacho na kuwasaidia ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Watu 24 waifariki nchini Philippines
    Kulingana na habari zinazoangazwa siku hizi na radio mbali mbali popote ulimwenguni, yaaminika kuwa kundi moja la watu wasiojulikana bado liliweza kuleta fujo nchini Philippines na kuuwa wananchi wapata mawili na wanne.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Zimbabwe : Askari 55 wa ukombozi waliuawa kando kando ua mji wa Bulawayo
    Habari zenye kuaminika, ambazo zilitangazwa na Sauti ya Ujerumani Magharibi, zahaki kisha kuwa, siku hizi makundiya askari wa majeshi ya ukombozi nchini Zibambwe ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Kindu : Ujombo maalum toka Kinshasa ulihusika na maisha ya vijana wanaofunza kazi pa Lokandu
    Siku hizi, ujumbe maalum toka mjini Kinshasa ambao uhongowa na mmoja kati ya washauri wakuu kunako wizara ihusikayo na mahisha ya jamili nchini (Affaires sociales) ....
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Kabindula-Uvira : Ndugu Muvira Siwavira gazeti Jua si baraza la utitia !
    Katika gazeti letu namba 99 la tarehe 31 Januari mpaka 6 Februari 1981, tulitangaza kibarua cha musomaji wetu Muvira Siwavira, kibarua ambamo akweleza mengi ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Kwako bibi : "Mwanamimba" ni ugonjwa gani ?
    Kina mama wengi washambuliwa sana na ugonjwa wa tumbo hasa magonjwa yanayoshambulia njia za uzazi. Pahali pa kujielekeza hospitalini wanapougua ao kuumwa tumboni, wengi kati yao hupuuza hasa zaidi wakati wanapotambua kuwa maumivu hayo yawasonga hasa pande za sehemu ya chini ya tumbo.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 2 ans
  • Liwali Mwando atawapokea leo mjini Goma waziri mkuu mbelegi Martens na mwenzie Nguz
    Bahada ya kupata matunzo mjini Bruxelles, nchini Ubelegi na kurejea nyumbani kwake pa nyofu.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Bukavu : Fundi-mwizi "Talo" na wafuazi wake watatu wamenaswa
    Usiku wa siku ya pili tarehe 24 kuamkia ule wa siku ya tatu tarehe 25 februari 1981, askari walinzi wa usama mikoani waliwanasa fundi-mwizi Biringamine Toto ajulikanae zaidi kwa jina la kihuni "Talo" ...
    Swahili publié par Nyuki il y a 2 ans
  • Bukavu : Waandishi wawili wagazeti JUA waalikwa Ujerumani Magharibi
    Mwaka huu, Jamhuri rafiki ya Ujerumani ya Magharibi iliwaalika wa gazeti "JUA" wyeti vya kuweza kujielimisha zaidi katika kazi zao. Ni hivi kiongozi wa gazeti "JUA" mwananchi Mutiti-wa-Bashara atakaefanya Gafari yake ya uchunguzi katika sehemu ya Goethe.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Barabara imetengenezwa kwa wasafari tokea Bukavu mpaka Walikale
    Kulingana na mafazirio tuliyotolewa na naibu wa mwenyekki wa mtaa wa Walikale, barabar ni wazi sasa toka mjini Bukavu mpaka Walikale na vivi hivi.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Gbadolite : Rais Habyarimana alizungumza na mwenzie Mobutu kuhusu mahusiano bora
    Mwanzo wa juma hii, Rais wa Jamhuri jirani na ndugu ya Rwanda, Jemadari JUvénal Habyarimana alikutana mjini Gbadolite katika mazungumzo ya kikazi na mwangazie Jemadari Mobutu Sese Seko ambamo walichungwa kwa karibu mahusiano bora ya nayokuwa daima katika ya Rwanda na Zaïre.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Kinshasa : Kina Mama Bobi Ladawa alizungumza na wanawake wa mabalozi
    Siku hizi, mke wa Rais Mobutu Sese Seko kina mama Bobi Ladawa aliwapokea katika masimilizi kwenye meli "M.S/Kamanyola" wanawake wapaka makuni tano (amsini) wa mabalozi na wasimamizi wa mashirikisho makuu ulimwenguni wanaowakilisha nchini zao mjini Kinshasa.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Luvungi : kijiji cha lazima kinachosahuliwa !
    Wengi kati yetu hasa kabisa wanachama wenye kuelewa hadisi za mkoa wa Bafulero, watakualiana nasi kwamba ujio, ngao na maendeleo ya mkoa huo yatokana na kijiji cha luvungi kinachoongozwa na suitani wa kweli wa asili, kijana Ndaya Kimbumbu.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Kwako bibi : Penye kilio sio mahali pa vilabu vya pombe ya mikutano ya vimada
    Wakaaji wengi, wanaume na vile wanawake wamemwona sahau kabisa maana kamili ya kujielekeza nduu ao marafiki waliofiwa na kuwasaidi kadiri inavyowezekana.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 2 ans
  • Katibu mkuu wa chama alikuwa jimboni mwa Kivu
    Tangu siku ya tano tarehe 20 mpaka siku ya Muangu tarehe 22 februari mwaka huu, katibu mkuu wa Chama, mwananchi Bo-Boliko Lokonga alikuwa katika ziara ya kikazi mjini Bukavu.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Uchunguzi mkali wa vilabu wafanyika mjini Bukavu
    Tngu siku ya nne tarehe 26 februari mwaka huu, makamu wa mwenyekiti mjini Bukavu, mwananchi Mawanga Tsongo - Tsongo ni mwenyikusimamia kundi lihusikalo na uchunguziwa viabu vya pombe katika mkaa yote ya mji wa Bukavu.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 2 ans
  • Viongozi wa chama wa mawilaye na mitaa watatajwa
    Kamati ya Chama cha Mapinduzi jimboni mwa Kivu ilikusanyila siku zilizopita katika mkutano moja maalum, chini ya uchunguzi wa naibu wa Liwali wa jimbo ya Chama mwananchi Djoho Tayeta.
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Rais Mobutu alizungumza kikazi na waziri mkuu Mbeleji Martens
    Aliporejea mjini Kinshasa akitokea Lusaka, mji kuu wa Jamhuri ya Zambia ambako alizungumza kikazi na mwenzie Kenneth Kaunda wa Zambia kuhusu mahusiano bora yanayodumu daima kati ya Zaïre ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Mitetemeko ya dunia ilisikia mjini Bukavu
    Mnamo siku ya kwanza tarehe 2 marsi pa saa saba na dakika 50, siku ya pili tarehe 3 marsi pa saa nane za usiku na siku ya nne tarehe 5 marsi mwaka huu pa saa 12 za asubuhi, mitetemeko ya dunia yamesikia mjini Bukavu pasipo kuleta hasara yoyote.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 2 ans
  • Bukavu : Bado kidogo wapangaji wa "Bonas" wenye madeni watafukuzwa
    Siku ya tatu tarehe nne marsi 1981, haibu wa Liwali wa Kivu ahusikae na mwenendo bora wa kazi za serikali, mwananchi Makolo Jibikilay alimpokea katika masimulizi chumbani mwake mwa kazi kiongozi wa tawi ...
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 2 ans
  • Mwananchi Kahegeshe achaguliwa tena kubaki mkuu wa "Aneza" jimboni
    Siku ya sita tarehe 21 februari 1981, wafanyabia shara katika mawilaya mbali mbali jimbo mwa Kivu walikutana kunako chumba cha maonyesho ya kiutamaduni cha Ufaransa mjiniBukavu iti kuchagua kamati yao mpya, yaani, "Aneza".
    Swahili publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kiliba-Uvira : Mwananchi Amisi na Kamanda wa askari jeshi wajuta ujanja wao katika joja
    Habari kamili toka Uvira, makao makuu ya ywilaya ya Kivu ya Kusini zahakisha kwamba, kiongozi-mshauri wa mwandachi AMISI na mwenzie kamanda wa askari jeshi wapatikanao ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Mwananchi Muvira si Wavira ni mwongo ?
    Jua mpenzi, kutuatana na barua iliyoandikwa na mwananchi Muvira si Wavira iliyotangazwa katika toleo letu lenye namba 99 lililopingwa chapa tangu tarehe 31 januari mpaka 6 februari mwaka 1981 ...
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Bukavu : Wapishi wa masomo makuu ya kialimu "I.S.P." wamaliza chakula cha wanatunzi ?
    Pokea saiamu zangu za mwaka pia 1981. Mwaka huu ukuletee heri na maendeleo ya kazi zako.
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Sake : Mchana ni magari yenye kuharibika, usiku ni magari mapya !
    Jua mpenzi, Nilipokuwa matembezi huko Sake katika mtaa wa Masisi, nilijionea binafsi mambo ya kushangaza yanayotendwa na wakaaji wa mkoa huyo mdogo.
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Bukavu : Akina mama wachuuzi wa soko kuu wajiheshimu
    Jua mpezi, sisi tunaochuuza katika soko kuu la Bukavu tumekwisha inq mambo mengi ya kushangaza.
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Maulizo na majibu
    1) Tufanyeje kwa kupiganisha matendo mabaya ya warugaruga wanaotuangamiza siku hizi ?
    Swahili il y a 2 ans
  • Mwananchi Mbalaga alisema : Wilaya ya Maniema yakusudia kukamilisha mpongo wa kuongeza mazao ya mashamba (PAM)
    Mnamo siku zilizopita, wenyeviti wa mawilaya yote jimboni walikutana mjini Bukavu ambako walizungumza kikazi na katibu mkuu wa Chama chetu cha Mapinduzi Bo-Boliko Lokonga Monse Mihombo.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 2 ans
  • Kwako bibi : Ni nani msingi wa uzazi wa aina moja tu ya watoto ?
    Wengi kati ya wazazi wapatwa na huzuni kubwa moyoni mwao wababu wamepata bahati mbaya ya kuzaa aina moja tu ya kuzaa aina moja yu ya watoto. Ni kusema kwamba kuna jamaa zinazopata tu watoto wakiume ao watoto wakike.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 2 ans
  • Ujapani : Papa Yoane Paulo wa pili aliwataja mawhahidi 16 kuwa wenyiheri
    Kwa mara ya kwanza katika istoria ya kanisa katolika, Baba Mtakatifu wa Roma, Papa Yoane Paulo wa pili aliwataja mashahidi 16 kuwa wenyiheri (bien heureux) nja wa mji wa Roma.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Amerika : Utawala wa Rais Reagan wa punguza misaada ya kiserikali
    Wamerekani wakusudia kuipunguza misaada ya kiserikali duniani. Ila yaminika kuwa misaada itatolewa kwa nchi za Kenya.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kenya : Rais Arap Moï aendelea na ziara za kiserikali katika nchi mbalimbali
    Kisha kuzitembelea nchi mbalimbali za Bora la Asia, Rais Arap Moï wa Kenya aenza kuzitembelea sasa nchi za Bora la Afrikaakianza na Nigeria atakamobaki muda wa siku nne.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Pakistani : Gari la mabawa lilitekwa nyara
    Siku zilizopita, gari labawa lashirika la Pakistani lilitekwa nyara na waharamia watatu wa jamaa moja na kujielekeza Damad mji kuu wa chi ya syria.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Tunisia : Uhusiano kati ya Tunizia na Zaïre wadumushwa
    Habari kutoka redio Rwanda zajulisha kuwa uhusiano kati ya Jamhuri za Tunisia na Zaïre wadumishwa. Ni hivi nchi ya Tunisia yashidia kujenga chuo cha majifunzo yay uongozi wa kazi za serikali mjini Kinshasa (administration et fonction publique).
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Rwanda : Raia na wanajeshi walipewa Nishani
    Habari kutoka Rwanda zatujulisha kuwa siku ya pili tarehe 10 februari 1981, Jemadari Habyarimana, rais wa Rwanda, alipana medali kwa wanajeshi mia salasini na sita (136) na waraia sitini na saba (67).
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Bukavu : Vyumbu vya uzazi kwa kina mama vitazinduliwa
    Siku ya tatu tarehe kumina moja Marsi 1981, naibu wa Liwali wa Kivu ahusikae na kazi za serikali, mwananchi Makolo Jibikilay alichungwa kazi za ujenzi wa vyumba vya uzazi kwa kina mama vinanyojengwa kunako hospitali kuu mjini Bukavu.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Leo tarehe 14 Marsi 1981 pa Kinshasa : Rais Mobutu atazungumza na maliwali
    Mwanamemba wa chumba kikuu cha siasa na waziri wa mambo ya ndani, mwananchi Duga Kugbe Toro, pamoja na mwanasiasa Liwali wa Kivu Mwando Nsimba Shaba waliondoka mjini Bukavu jana siku ya tano tarehe kumi na tatu Marsi 1981 ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Mwananchi Djoho alikubali kuwa : "Amani, sharia na kazi" vyadumu popote jimboni
    Baada ya kuchungua wilaya ya Kivu ya kaskazini kwa jumla na mtaa wa Walikale kwa upekee, naibu wa Liwali wa Kivu ausikae na mwenendo bora wa Chama cha Mapinduzi, mwananchi Djoho Tayeta alikubali kuwa ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Bukavu : Mwananchi Lokomba ashurulika na maendeleo mjini
    Siku hizi, mwenyekiti wa mji wa Bukavu, mwananchi Lokomba Kumuadeboni alisimamia mkutano moja maalum ambamo alizungumza kikazi na mwanamemba wa kamati ya washauri wake waliojifunza pamoja jinsi bora itakayowaruhusu kuzidisha maendeleo mjini.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Maboyo-Beni : Wachimba zahabu kimagedo wanatomboka
    Habari zenye kuaminika toka kijini cha Maboya, katika mkoa wa Beni; kijiji kipatikanacho kwenye kitambo cha kilometri makumi mawili na mkoa wa Butembo zahakikisha kuwa, kundi moja la wachimba zaabu kimagendo limewashambulia askare jeshi wawili ...
    Swahili publié par Nyuki il y a 2 ans
  • Hali ya mlimo nchini
    Mavuno ya mahindi hayatoshi kwa kuweza kulisha wanazaïre jinsi inavyostahili. Kwa hajili hiyo, wakuu na wataalam nchini walitanya vyote wawezavyo ili waweza kujifunza na kupata majawabu hayo yatimizwa moja moja kutokana kuongezwa kwa mavuno ya mahindi mchini ili wakaaji wapate kula kwa shibe.
    Swahili publié par Nyuki il y a 2 ans
  • Lubarika-Uvira : Kwa nini mwananchi Maboko anawatesa wakaaji ?
    Siku hizi, msomaji wetu Nakatele Gombarino alituandikia kibarua chake jii kutujulisha magumu ya kila aina ambayo wakaaji wa mkoa mdogo wa Luvungi wanatendewa kila mara na mshauri wa kazi za serikali katika mkoa huo mdongo upatikanao katika mkoa wa BAfulero.
    Swahili publié par Nyuki il y a 2 ans
  • Mnamo miaka kumi ijoya Kivu ya Kaskazini itakuwa na wanyama wa ufugo milioni moja
    Jamhuri yetu ya Zaïre, ni yenye kuwa na utajiri mwingi na wa umbalimbali unaopashwa kuepusha Taifa letu magumu yote yanayoiangamiza nyakati hizi.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par Mutiri-wa-Bashara il y a 2 ans
  • Mwami Lenge wa tatu :"Tuungane kwa ujio bora wa watoto wetu !"
    Siku ya kwanza tarehe mbili Marsi 1981, Mwami Lenge wa tatu Rugaza Kabale wa mkoa wa Bavira alisimamia mkutano moja maalum pa Kabindula, makoa makuu ya usultani na wa mkoa wake na kuwashauri wasaidizi wake waungane pamoja kwa maendeleo na ujio bora wa watoto wao.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • RAis Obote awaalika wafuasi wa Idi Amin kurejea nyumbani
    Lakini, tarehe kamili na ya mwisho ya kurudi kwa wafuasi hao wa zamani wa Idi Amin Dada hazijakamilishwa bado. Ila, ilijulishwa kama wale wananchi ambao hawawezi kurejea mbele tarehe kakayokamilishwa, hawaweza tena kukubadiliwa na kupokewa nchini Uganda.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Nouakchott : Moritania yavunja mahusiano ya kibalozi na Moro o.
    Habari zenye kuaminika toka chumba cha weziri ahusikae na mambo ya nje pia mahsiano bora mjini Nouakchott (Moritania) zahakikisha kuwa, baada ya kugundua mazumuni ya kutaka Rais Aidallah nchini Moritania ...
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Bukavu : Mwananchi Muliri awaalika wakaaji wazidi kuwagundua maadui
    Siku ya sita tarehe 14 Marsi 1981, katibu ahusikae na maadibisho pia uongozi bora wa kazi za Chama mjini Bukavu. Mwananchi Muliri Muhumusi alisimamia mkutano moja maalum wa kiraia akihuziwa na Liwali kwa muda mwaanchi Djoho Tayeta ambamo alizungumza kimapinduzi na wakaaji wa mkoa wa ndendere.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Mkutano wa kawaida wa Chumba kikuu cha siasa watezamiwa kutunguliwa mnamo tarehe 27 marsi
    Siku hizi, mwanzilishi wa Chama cha Mapinduzi, Jemadari Mobutu Sese Seko alikutana katika masimulizi ya kikazi na maliwali wa majimbo pamoja na yule wa mji wa Kinshasa katika mali yake bihatsi "M.S./Kamanyola".
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Paris : Mwananchi Boùboko alitetea juu ya manusiano bora na uchumi kati ya Ufaransa na Zaïre
    Katika muda wa siku zote alizobaki mjini Paris, nchini Ufaransa, mwanamemba wa chuma kikuu cha siasa ambaye ni naibu wa waziri mkuu na waziri wa mambo ya nje pia ahusiano bora kati ya chi mbali ulimwenguni na Jamhuri yetu ya Zaïre ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Bukavu : Namna gani kufika mbingini ?
    Jua mpenzi, pokea salamu zangu za amani na maendleo mema katika kazi zako. Ninapokuandikia barua hii shabaha yangu kubwa ni kupata mwanga wako kwa maulizo mengi yanayonisonga ili kuelewa mashurti ao jinsi bora ya kuishi maishani mwangu na kupokewa baada katika ufalme wa Mweny'Ezi Mungu, yuani Mbinguni.
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Chimpunda-Bukavu : Mawnanchi Kabutula, mchuuzi wa kisikisi aache uaguzi
    Jua mpenzi, ninapokuandikia barua hii, sina hata kidogo wazo la kumchafua mkaaji fulani ao kutaka kujilipisha kisasi.
    Swahili il y a 2 ans
  • Kazimia-Fizi : Kiongozi wa chuo cha sekondari atuangamiza !
    Jua mpenzi, nkujulisha kama mimi ni mkaaji wa hapa kazimia, mtaa wa Fizi, nipo mwalimu tangu miaka mitatu katika masomo ya msingi, katika nasangaa, nakiongozi ...
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Pangi : Mwananchi Sadiki na Bwana Vintton warudisha ukoloni kama ?
    Jua mpenzi, upendezwe kupokea na kutangaza machache nihayo kuhusu magumu ya wanakazi wa masomo ya sekondari ya Kama.
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Eti yule Sadiki hajui kazi zake ?
    Jua mpenzi, utupe nafasi katika ukurasa wetu wa Neno la wasomaji lil tupate kukufasiria mateso yetu sisi wanafunzi wa masomo ya sekondari ya Kama.
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Kuna masikilizo ya wizi katika ya mwananchi Balolebwami na watoto wake ?
    Jua mpenzi, sisi wakaaji wa mkoa wa Chimpunda tunasangaa sana. Msangao wetu huu watokana na matendo haramu ya mwananchi Balolebwami anayejiruhusu kuwatetea watoto wake mbele ya serikali kila mara wanaponaswa wakitendavitendo vyao vya wizi na vya urugaruga ...
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Matangazo ya vifo
    Mwananchi Luyungula-wa-Sembeya, mtengenezaji wa magari na "Mashini" mbali mbali kwenye shirika lihusikalo na ulimishaji na utengenezaji wa mitumba ya upamba "ESTAGRICO" ...
    Swahili il y a 2 ans
  • Mwanasiasa na katibu mkuu katika bunge Birere : "Yafaa wanachama wote wamsaidie Rais Mobutu Kumaliza magumu nchini"
    Siku hizi, mwanamemba wa chumba kikuu cha siasa nchini aliye pia katibu mkuu katika baraza ja wabunge, mwananchi Birere Mabano aliyekuwa katika mapumziko mjini Bikavu ...
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Bukavu : Siku arbaini za mwizi mkuu "Ours" zimetimia !
    Wangwana wamesema kuwa : "siku za mwizi ni arbaini t !" Siku hizo arbaini (kamumi nne) zinapaona, sherti kabisa ujanja na upuuzi wa mwuizi huo ukomeswa.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Kwako bibi : Jinsi bora ya kuepuka mizozo katika unyumba !
    Wengi kati ya dada zetu wenye ndoa huwa wanajiuliza kutaka kujua jinsi bora inayoweza kuwaruhusu kuepuka mizazo kati yo na waume wao katika unyumba kutoka na tabia ngumu ao mbaya ya bwana.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Mwenga : Mwananchi Bitinapaga anakusudia kutengeneza upya mabarabara ya mikoa
    Siku hizi, mwenyekiti wa mtaa wa Mwenga mwananchi Bitiapaga ni mwenye kukusudia kabisa kutengeza upya mabarabra ya mikao mtaani mwake hasa kabisa yale ya Burhinyi, Wamuzimu na Itombwe.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Kigali : Nchi za Rwanda, Burundi na Tanzania zilikutana
    Habari kutoka Rwanda zajulisha kuwa mkutano moja maalum uifanyika jumaa hii kati kati ya nchi za Rwanda, Burundi na Tanzania kuhusu uchumi wa mali kati ya nchi zipatikanazo kandokado ya bonde la mto wa Kagera ...
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kampala-Uganda : Waganda wafukuzwa nchini Kenya
    Gazeti "Uganda Times" lashtaki nchi ya Kenya kwa hatua kati iliyochukuliwa na serikali na kuwafukuza raia wa Uganda nchini humo bila sababu yoyote.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Tunizia : Mawaziri wa nchi za kiislamu walikutana
    Mkutano wa mawaziri wa nchi za kiislamu wahusikao na mambo ya kigani ulifanyika nchini Tunizia. Katika mkutano huo, Moritania ilishtaki Moroko kuwa iliwasaidia maharamia kutaka kuipindua serikali mpya.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kadutu : "Centre social" yawaomba wabinti na kina mama kujiandikisha wengi
    Siku ya kwanza tarehe 23 Marsi 1981, mwenyekiti wa mtaa wa Kadutu, mwananchi Mulyanga Mugobe, amepokea mchumbani mwake mwa kazi kiongozi wa kitua cha maelimisho ya kazi za mikono na ufundi wa ujuzi wa mambo ya kijamii kwa kina dada na mama Kalmeri.
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 2 ans
  • Askari jeshi watafanya mazoezi ya vita
    Habari zanye kuaminika ambao zilitangazwa na "Sauti ya Zaïre" mjini Kinshasa zahakikisha kwamba, tangazo moja maalum toka chumba cha kazi za kamanda mkuu wa askari jeshi wote nchini, Jemadari Mobutu Sese Seko laeeleza kuwa siku hizi vikosi mbali mbali wya askari jeshi ...
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 2 ans
  • Kinshasa : Rais Mobutu alifungua mkutano wa pili wa kawaida wa chumba kikuu cha siasa
    Siku ya nne tarehe 26 Marsi 1981 wakati wa mchana, Mwanzilisha wa Chama cha Mapinduzi, Rais wa Jamhuri Mobutu Sese Seko alisimamia shereka maalum kunako jumba kubwa la taifa lili kufungua kiserikali kazi za mkutano wa pili wa kawaida wa chumba kikuu cha siasa nchini.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • "Kampanye imeanza Kadutu" ?
    Mnamo siku zilizopita naibu wa mwenyekiti wa mataa wa Kadutu, mwananchi Musole Maharaza alipita pita popote mikoani katika ukomo wa kuwagu ndua wale wafanyabiashara wote wabaya wanaoangmiza wakaaji, hasa kabisa kuvunja zile bei zao za wizi.
    Swahili il y a 2 ans
  • Mwanafunzi, nunua alama zako
    Furaha ya wazazi ni pia kuona watoto wao wanaendelea vizuri shuleni kwa namna siku zitakazokuja wapate kuwasaidia na kujisaidia wenyewe.
    Swahili il y a 2 ans
  • Mkimbie mme wako woleo na tajiri !
    Wewe mama wa Buholo ya nne (4) usimshauri mtoto mke wako vile ! Mama huyu alipoona mtoto wake mke amebeba mimba, alimpeleka upesi kwa uficho kwa bwana.
    Swahili il y a 2 ans
  • Viwanja vyagawiwa ovyo katika mtaa wa Kadutu
    Tembea ukajionee, kuambiliwa kuna wongo ! Unapotembea mikoani katika mtaa wa Kadutu, utaona nyumba nyingi hujengwa ovyo ovyo.
    Swahili il y a 2 ans
  • Karama-Idjwi : Uuzaji wa kasikisi wahatarisha dini la kiprotestanti ?
    Jua mpenzi, ikiwa ninakuandikia barua hii kwa mara kwanza, ukoma wangu mkubwa ni kukutolea mambo yasiyo halali yanayotendeka katika kanisa la kiprotestanti la Karama, tawi la "CEPAZa" pa Idjwi.
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Uvira : Ni hatari sana kuvua samaki pasipo kuelewa vema kazi hiyo ?
    Jua mpenzi, sisi wakaaji wa vijiji vya Kigoma, Makobola na Kahingwa tuna hofu sana. Hofu hiyo yatokana na upuuzi wa ndugu zetu toke nchini Burundi na katina vijiji vingine vya mitaa ya Fizi na Uvira ambao wafika wengi sana na kujitia katika kazi za uvuvi ingawa hawalewi vema.
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Kabare : Wakaaji wataendelea kulima mashamba ao hapana !
    Jua mpenzi, sisi wakaaji wa mtaa wa Kabare, hasa kabisa wa ngambo za Mudaka, twa jiuliza kama tuendelee au tuache kabisa kulima mashamba.
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Mafasirio kamili kwa ndugu Amuri Juma wa Mulongwe pa Uvira na Mazambi-Mbiliizi-Mateso wa Mwenga
    Ndugu Amuri, mkaaji pa Mulongwe mjini Uvira, tunakujulisha kwamba tumepokea kibarua chako ambambo umetuandikia mambo yaliyotusisimua sana.
    Swahili il y a 2 ans
  • Bukavu : Angalisho kwa wakaaji
    Ugonjwa mkali wa huhara unaombukia na kuwaangamiza vikali siku hizi wakaaji wa Kivu ya Kaskazini; ungonjwa ambao ulitokea katika kijiji ona Kisenyi ...
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Wamza-Kabambare : Kalanga yakosa wanunuzi
    Wamaza ni moja kati ya mikoa mnamo limwa ama mbali ya chakula katina mtaa wa Kabambare, wilaya ya Maniema.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Kwako bib : Hakuna ugonjwa wa haya !
    Ikiwa wataala! wamekwisha vumbua dawa nyingi za kupinga na kukomesha kabisa magonjwa mbali mbali, magonjwa mengine ya hatari yazidi kutesa na kuharibu mwili wa binadamu wengi ingawa wanafahamuvema kuwa kuna dawa inayoweza kuponya mapema ...
    Swahili publié par MUNYOLOLO KIPENE il y a 2 ans
  • Habari za kiaskari : Jemadari Singa alichukuwa hatua muhimu
    Baada ya kutambua kama wamoja kati ya askari jeshi wetu walianza kuzaramu na kusahau kabisa mapashwa, mwendendo na kanuni z kazi yao, mwanamemba wa chumba kikuu cha siasa ambaye ni mmoja ...
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Harare : Mahusiano yadumisha kati ya Amerika na Zimbabwe
    Habari zinazominika zajulisha kuwa, ujumbe moja maalum toka Marekani ulioongozwa na bwana Peter uliwasili kiserikali pa Harare, mji mkuu wa Zimbabwe.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Afrika ya kusini : Askari wa kukodiwa toka Ulaya Magharibi ni wengi
    Siku hizi, radio mbali mbali ulimwenguni kote zahakikisha kwamba askari wengi wa kukodiwa toka Ulaya ya Magharibi na shirikisho la Amerika ni wengi katika Jamhuri isiyokuwa halali ya Afrika ya Kusini.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Uganda : Mauti kumi na nne zimeokotwa porini
    Juma hii, mauti ya watu kumi na wanne, wakitambulikana kati yao watoto wawili wenye umri wa kufwata masomo zimeokotwa katika pori moja nchini Uganda.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Kinshasa : Liwali Mwando N'Simba alipokea na waziri Mvuendi
    Habari zenye kuaminika toka mjini Kinshasa zahakikisha kwamba, mwanasiasa na Liwali wa Kivu Mwando Nsimba Shaba alipokewa katika mazungu mzo ya kikazi na waziri ahusikae na masomo ya msingi na yale ya sekondari nchini ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Bado kidogo vilato toka Uvira mpaka Fizi vitajengwa upya
    Bado kidogo vilalo vipatikanavyo katika barabara inayounisha mji wa Uvira na mikoa midogo ya Kamanyola upande wa Kaskazini na - Lubumba - Ngandja - Mutambala - mpaka makao makuu ya mtaa mwenyewe wa Fizi, upande wa Kusini vitajengwa upya.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Kina mama wa nchi za Burundi, Zaïre na Rwanda wakutana katika seminari pa Gisenyi
    Tangu siku ya tatu tarehe moja Aprili 1981, waziri Mnyarwanda ahusikae na maisha bora pia maendeleo ya kijamii, bwana Ntagerura André alisimamia kazi za kufungua seminari moja maalum inayokusanya pamoja ujumbe mbali mbali za shirikisho ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Amerika : Rais Ronald Reagan ameponyoka kifo
    Habari zenye kuaminika toka Washington, makao makuu ya shirikisho la Amerika zaeleza kwamba, Rais Ronald Reagan nchini humo ameponyoka kifo cha risasi siku ya kwanza tarehe 30 Marsi 1981.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • "Adjudant" anayesikia utamu wa feza sawa vile asale !
    Wakaaji wa kijiji cha Kigulube, katika mtaa wa Shabunda wanaona "cha mtema kuni" na hawajui watakimbilia wapi Kali anayetajiwa jina la "adjudant" wa kijiji hicho, lazima atetemeke sawa vile mtu anayekutana na simba mwenye njaa.
    Swahili il y a 2 ans
  • Kodi ya "mwende mukaone" pa kilombwe
    Mwandishi wetu N'Dekelelo Amundala, mkaaji katika kijiji cha Amisi mkoa wa Kilembe, mtaa wa wa Fizi alitujulisha siku hizi kuwa, kiongozi wa mkoa wa huo ...
    Swahili il y a 2 ans
  • Watumishi wa O.T.C.Z. hawataacha upuuzi ?
    Si mara kwanza wakaaji kulalamika kuhusu vitendo vya wizi vinavyotendwa karibu kila siku na wamoja kati ya watumishi wa "OTCZ" mjini Bukavu.
    Swahili il y a 2 ans
  • Askari wa "B.R" hajacha "lulombo"
    Ingawa barazala mawaziri lilikwisha sema mengi kuhusu mwenendo mbaya wa askari walinzi wa usawa mabarabarani, jamaa hao hawajaacha "lulombo" Iwao iwa feza kwa madereva.
    Swahili il y a 2 ans
  • Bukavu : Ukosefu ni ulema ?
    Jua mpenzi, "tembea ukaone, duniani kuna mambo !" Ikiwa naenza barua na kingilio hicho, ni sababu ya msangao ninaosiku hizi kufuatana na matendo ya ndugu na marafiki wangu.
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Bukavu : Television yaharibu maadibisho ya watoto wetu
    Jua mpenzi, nilijaribu kukuandikia mara ya kwanza katika siku zilizopita, lakini haukutangaza brua yangu.
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Uvira : Viongozi wa "Institut Hekima" wanaleta haya !
    Jua mpenzi, Pokea malalamiko yetu sisi wanafunzi wa "Institut Hekima" hapa Uvira, masomo yanayosimamiwa na "Coordination Kimbanguiste".
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Kutafuta ndungu
    Mwananchi Miruho Kanda, mtumishi kunako shirika "La presse zaïroise" mjini Bukavu, anamtafuta dadae anayejulikana kwa jina la Nyabienda Kashagaza.
    Swahili il y a 2 ans
  • Kivu ya Kaskazini : Mwananchi Likita afasiria hali kamili ya wilaya yake
    Mnamo siku zilizopita, kiongozi wa wilaya ya Kivu ya Kaskazini, mwananchi Likita alimpokea katika masimulizi waandishi wa habari wa Bukavu. Masimulizi hayo yalielekea hasa hali kamili ya kazi katika wilaya anayoongoza.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE il y a 2 ans
  • "Cimenterie de Katana" itaanza tena kazi zake
    Habari zenye kuaminika zaeleza kuwa, mnamo siku zijazo, shirika lihusikalo na utengenezaji wa simenti (seruji) katika mkoa mdogo wa Katana (Cimenterie de Katana) litaanza tena kazi zake za kutengeneza kifaa hicho.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Bukavu : Vyombo vipya vya Sauti ya Zaïre vimefika
    Baada ya kubaki mjini Kinshasa na kurejea nyumbani pa Bukavu, kiongozi kwa muda wa chumba cha kazi za serikali kihusikacho na upeperushaji wa habari kwa njia ya redio, mwananchi Katshunga Shabani alijulisha kuwa, vyombo vipya vya Sauti ya Zaïre mjini Bukavu vimefika.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Banda : Mwananchi Otshudi katika mikoa mbalimbali ua mji wa Bukavu
    Mwananchi Otshudi Yolama, katibu wa Chama ahusikae na uhimizaji pia maadibisho ya siasa jimboni alitembelea siku hizi mikoa mbalimbali ya mji wa Bukavu.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kadutu : Wevi kumi na moja walikwisha naswa
    Tangu mwenyekiti wa mtaa wa Kadutu, mwananchi Mulyanga Mugobe kuchukua hatua muhimu ya kukomesha uhuni, wevi kumi na moja walikwisha anguka katika nyavu za askari walinzi wa usawa mikoani mtaani humo.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE il y a 2 ans
  • Bamuguba-Kigulube : Ubaguzi wa dini waharibu pia maendeleo na masikilizano kati ya makaaji !
    Zaidi ya matatizo na magumu mbali mbali, kuna ubaguzi wa dini unaoharibu maendeleo ujenzi na masikilizano kati ya wakaaji wa mkoa mdogow a Bamuguba, mkoa wa Kigulube, mtaa wa Shabunda.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Kampala-Uganda : Angalisho imepewa kwa maharamia
    Waziri ahusikae na usalama na amani nchini Uganda, alipana angalisho kwa mkaaji yeyote anayepinga serikali pya inayoongoza na Rais Milton Obote.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Washington-Amerika : Yafaa Namibia iwe huru kabisa
    Ujumbe moja maalum toka Marekani unaongozwa na bwana Peter utawasili katika nchi mbalimbali za Afrika. Habari zinazoaminika zahakitisha kuwa rais mpya wa shirikisho la Amerika bwana Reagan ...
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Freetown/ Sierra-Leone : Mkutano wa Umoja wa Mataifa
    Huko Freetown, mkutano wa Umoja wa mataifa ulikutana kuhusu uchumi kati ya mataifa huru ya Afrika. Katika mpango huo, katika mkuu wa muungano wa kiuchumi wa nchi huru za Afrika zijiunge pamoja ....
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Ryad-Arabia : Uhusiano kati ya Arabia na Afghanistan umevunjwa
    Habari kutoka redio Rwanda zajulisha kuwe uhusiano kati ya Arabia na Afghanistan umevunjwa kutokana na serikali ya nchi hiyo kuhusiana na Urusi wakitengemea hivi vikosi, silaha za vita vipatikanavyo nchini ...
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par André Bisimwa L-B. Tserou il y a 2 ans
  • Kinshasa : Kina mama Bobi Ladawa alizindua kazi za ujenzi kituo cha vilema "Bondeko"
    Mwaka tunao, yaani mwaka 1981, ulitangazwa na jemadari Mobutu Sese Seko kuwa mwaka utakaoshurulika kwa kuinua maisha bora ya kijamii nchini. Ni hivi, kila mkuu katika Chama na serikalini ni mwenye kuhusika kwa karibu na jambo hilo muhimu.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Kinshasa : Rais Mobutu alizungumuza na makaaji ya chumba kikuu cha siasa katika meli MS/Kamanyola
    Siku ya nne tarehe sita Aprili 1981wakati wa mchana cha Mapinduzi, Rais wa Jamhuri, Jemadari Mobutu Sese Seko aliwapokea katika mazungumzo wanamemba wa makamati mbali mbali ya chumba kikuu cha siasa waliomtolea ripoti kuhusu kazi katika meli ya binafsi "MS/Kamanyola"
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Katibu wa chumba cha kugombea haki za wafanyakazi jimboni amerundi
    Siku ya Mungu tarehe 5 aprili mwaka huu, katibu wa chumba serikali kihusikacho na kugombea haki za wafanyakazi jimboni mwa Kivu, mwananchi Biruru Shabanyitu alirudia mjini Bukavu akitokea Kinshasa ...
    Swahili il y a 2 ans
  • Wakimbizi milioni tano watawanyika popote katika nchi za Afrika
    Tangu Bara la Afrika kutikiswa na uhuru pia siasa, chumba kikuu cha Umoja wa mataifa kihusikacho na maisha ya wakimbizi popote ulimwenguni kulitangaza kwamba, wakimbizi milioni tano watawanyika popote katika nchi za Afrika.
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Pembe za tembo makumi nane zilinaswa katika gari la bwana Jaffary mjini Goma
    Ndugu zetu hao toka nchi mbali mbali za Afrika na Azia wanaanza sasa kufaula na moyo wetu huyo wetu huyo wa ukarimu wa kuharibu ukimya, usalama na uchumi ...
    Swahili il y a 2 ans
  • Leo siku ya sita, Rais Reagan atezamiwa kutoka hospitalini
    Habari zenye kuaminika ambao zilitangazwa na radio "Washington" siku ya nne tarehe tisa Aprili 1981 wakati wa asubuhi, saa za Mashiriki nchini Zaïre zahakikisha kwamba ...
    Swahili publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Ukitaka siri za serikali, tafuta kwa wachuuzi wa kalanga na ...
    Kwa kweli, viongozi na watumishi wamoja katika vyumba vya serikali na Chama chetu cha Mapinduzi walikwisha haribika kabisana kupotelewa na zamiri ngema ya kazi sababu tu ya "loho"na puga kali ya feza.
    Swahili il y a 2 ans
  • Namna gani chaki za walimu zamalizika mwaka huu ?
    Wazazi wa wanafunzi wanazidi tu kupata ao kuangamizwa na magumu mbali mbali kuhusu majifunzo ya watoto wao, Zaidi ya malipo wanayoomba wa wazazi kwa kujenga kuta ao kuzidisha vyumba vingine vya masomo.
    Swahili il y a 2 ans
  • Askari hawaweze kuacha kutangatanga na vivazi vyao mikoani kisha kazi ?
    Katika mwezi Marsi uliopita, mwanamemba wa chumba kikuu cha siasa nchini aliye pia mkuu wa chumba kikuu cha askari jeshi, Jemadari Singa Boyenge Mosambay alichukua na kutangaza kiserikali hatua mbali mbali zinazohusu kanuni za kuleta usawa katika vikozi vyote vya majeshi nchini.
    Swahili il y a 2 ans
  • Kuna sasa masomo ya wizi gerezazi ?
    Kila wakati ambao mkaaji wa Kivu kwa jumla anazungumza kuhusu uhuni, urugaruga, uyanguyangu na wizi, uso na jina la kwanza linalomtelemesha ni lile la fundi-mwizi Kisala kufuatana na matendo yake wa wizi na mauaji aliyokwisha fanya mnamo siku zilizopita.
    Swahili il y a 2 ans
  • Bukavu : Zamu wa "Pharmakina" huiba kweli kuni za shirika lao ?
    Jua mpenzi, Mimi ni msomaji kati ya wasomaji wako wa daima. Ikiwa ninakuandikia barua hii, sina ukomo wa kuwa shaki bure zamu wa shirika "Pharmakina", bali kukuomba uwashauri ili wapate kujisahilisha katika makosa na vitendo vyao.
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Kayna-Lubero : Viongozi wa masomo waweze kupunguza mishahara ya walimu ?
    Jua mpenzi, hii ni sauti ya mmoja kati ya wasomaji wako inayokufikia toka Kayna katika mtaa wa Lubero ili kukujulisha magumu yake ya kazi kwa kuweza kujaliwa na mwanga wako.
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Jibu kwa barua : Mwananchi Kabutura, mchuuzi wa kasikisi aache ubaguzi !
    Jua mpenzi, uniruhusu kujibu kwa barua ya mwananchi Bahaya Karhinga aliyejificha kwa jina la Buhendwa Lufulwabo ambayo ulitangaza katika gazeti lako lenye namba 106 lilipingwa chapa tangu tarehe 21 mpaka 27 Marsi mwaka huu.
    NENO LA WASOMAJI il y a 2 ans
  • Yafaa maderewa waheshimu wasafiri wao !
    Mapendo, adabu na heshima, ni mambo ya lazima kabisa katika maisha ya binadamu. Ni hivi, kila dini, wazazi wetu na masomoni twafundishwa na kuombwa kila mara tuwe na mapendo ya kweli kati yetu, yulindiane adabu na kuheshimiana.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Mwananchi Sowa asimika mabomba za maji katika Bonde la Ruzizi
    Tangu mwaka 1978, mtaalam ao enjinia katika kazi za kuchimba mifereji, visiwa na kusilika bomba za maji safi ya kunyiwa katika sehemu ya Kaskazini - Mashariki nchini Zaïre,mwananchi Sowa ameshurulika na kazi hizo muhimu katika vijini vya Rubare ...
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans
  • Mwananchi Bashige alisimamia seminari ya "Aneza-Kabare"
    Mnamo siku zilizopita, shirika la muungano wa wachuuzi na wafanyabiashara wadogo na wakuu nchini katika mtaa wa Kabare, "Aneza-Kabare" ilisimamia seminari moja maalum kabisi iliyodumu muda wa siku mbili katika makao wa mtaa huo chini ya uchunguzi wa prezidenti wa kamati hiyo, mwananchi Bashige Buyungu.
    HABARI ZA JIMBO NA POPOTE publié par MALIYABWANA Mwin'Anu il y a 2 ans